Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Swali sio kwamba Kwanini watu wanaishi nauliza kwanini wewe Unaishi ?
Dhumuni la swali ni kujaribu kueleweshana huenda watu tumesahau kwamba Binadamu tupo tofauti chema kwako ni kibaya kwa mwingine...; Ila mwisho wa siku kila mtu anahitaji Kusudi (Purpose); kitu kinachomsukuma kuamka asubuhi na kufanya anachofanya..., Iwe ni kumridhisha mwenza, kuhudumia familia, kutoa elimu, kutoa Tiba, Kutetea wenye shida, Kula Bata n.k.
Kama kila mtu ana kusudi (purpose) inayomfanya kufurahia maisha, kama Jamii hatuoni kwamba tunapotoka tunapodhani watu tunaishi ili kupata Pesa ?; Yaani mtu hapendi kujichanganya na watu tunamwambia awe daktari sababu inalipa au mwanasiasa Je huyu atafurahia maisha wakati anachofanya sio kusudi lake ?
Iweje Msanii / Muimbaji aseme kazi ya Usanii hailipi wakati hata asingelipwa angeweza kuifanya Bure ?!!!
Binafsi nadhani maisha ni simple sana watu ndio wanaya-complicate kwa kutaka kuishi kwa jicho la Jamii linavyokuona na sio wewe binafsi unataka nini au kutokujua ni nini tunataka, na kudhani the Grass is Greener on the Other Side - Hivyo kusahau kuishi bali kutumia muda wetu hapa duniani tuki-chase an ILLUSION....
Dhumuni la swali ni kujaribu kueleweshana huenda watu tumesahau kwamba Binadamu tupo tofauti chema kwako ni kibaya kwa mwingine...; Ila mwisho wa siku kila mtu anahitaji Kusudi (Purpose); kitu kinachomsukuma kuamka asubuhi na kufanya anachofanya..., Iwe ni kumridhisha mwenza, kuhudumia familia, kutoa elimu, kutoa Tiba, Kutetea wenye shida, Kula Bata n.k.
Kama kila mtu ana kusudi (purpose) inayomfanya kufurahia maisha, kama Jamii hatuoni kwamba tunapotoka tunapodhani watu tunaishi ili kupata Pesa ?; Yaani mtu hapendi kujichanganya na watu tunamwambia awe daktari sababu inalipa au mwanasiasa Je huyu atafurahia maisha wakati anachofanya sio kusudi lake ?
Iweje Msanii / Muimbaji aseme kazi ya Usanii hailipi wakati hata asingelipwa angeweza kuifanya Bure ?!!!
Binafsi nadhani maisha ni simple sana watu ndio wanaya-complicate kwa kutaka kuishi kwa jicho la Jamii linavyokuona na sio wewe binafsi unataka nini au kutokujua ni nini tunataka, na kudhani the Grass is Greener on the Other Side - Hivyo kusahau kuishi bali kutumia muda wetu hapa duniani tuki-chase an ILLUSION....