Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Nalala kwa sababu ni nina usingiziIpi ni sababu inayokufanya ulale sasa hivi?
Unalala kwa sababu giza limeingia, au Unalala kwa sababu ya uchovu, au Unalala kwa sababu huna pa kwenda, au Unalala kwa sababu huna wa kukesha naye, au Unalala kwa sababu umelazimishwa, au Unalala kwa sababu huwezi kwenda viwanja, au Unalala kwa sababu ya njaa?
Amka ukasake utajiriNalala kwa sababu ni nina usingizi
Utajiri wa usiku,mpaka uwe mchawiAmka ukasake utajiri
Una mbinu niamkeUtajiri wa usiku,mpaka uwe mchawi
Amka uongeze ujuzi kwa njia ya youtubeUna mbinu niamke
WaongoAmka uongeze ujuzi kwa njia ya youtube
Amka ukasake utajiri
Ila ukiwa na fedha heshimaKwanini usake utajari wakati ipo siku utakufa utauacha?
Laifu likikuchapa hata kifo kinakuogopa, unajikuta unaishi miaka mingi ya matesoKwanini usake utajari wakati ipo siku utakufa utauacha?
Angalia za njeWaongo
Nataka kumpa mtu bushaAngalia za nje
Ulitakiwa uwe Ukraine sasa hivi, kuokoa jahaziNataka kumpa mtu busha
Laifu likikuchapa hata kifo kinakuogopa, unajikuta unaishi miaka mingi ya mateso
Ila ukiwa na fedha heshima
"Zaeni mkaongezeke", tutazaana saa ngapi kama sio usiku? Kumbuka mchana tupo busy kwenye harakati za kutafuta mkate wetu wa siku!Ipi ni sababu inayokufanya ulale sasa hivi?
Unalala kwa sababu giza limeingia, au Unalala kwa sababu ya uchovu, au Unalala kwa sababu huna pa kwenda, au Unalala kwa sababu huna wa kukesha naye, au Unalala kwa sababu umelazimishwa, au Unalala kwa sababu huwezi kwenda viwanja, au Unalala kwa sababu ya njaa?