Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 33,679 Reaction score 49,841 Oct 16, 2022 Thread starter #21 stars said: "Zaeni mkaongezeke", tutazaana saa ngapi kama sio usiku? Kumbuka mchana tupo busy kwenye harakati za kutafuta mkate wetu wa siku! Click to expand... Utawalisha nini, kumbuka hao unaowaleta sio mifugo ya porini, utatakiwa uwatafutie kila kitu
stars said: "Zaeni mkaongezeke", tutazaana saa ngapi kama sio usiku? Kumbuka mchana tupo busy kwenye harakati za kutafuta mkate wetu wa siku! Click to expand... Utawalisha nini, kumbuka hao unaowaleta sio mifugo ya porini, utatakiwa uwatafutie kila kitu