Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Najiulizaga sana hivi ni kwanini unga cocaine hutumiwa na wasanii wengi sana majuu lakini bado wapo fiti labda kwa zamani ndo kina whitney houston na bobby brown ndo waliharibikiwa, ila ukija bongo wasanii wakigusa tu ndo kwaheri mfano kina chidi, rayc, tid, mfaume, daz baba, qchief, na wengine tushawapoteza kama kina ngwea na kanga
Mwenye uelewa type darasa
Najiulizaga sana hivi ni kwanini unga cocaine hutumiwa na wasanii wengi sana majuu lakini bado wapo fiti labda kwa zamani ndo kina whitney houston na bobby brown ndo waliharibikiwa, ila ukija bongo wasanii wakigusa tu ndo kwaheri mfano kina chidi, rayc, tid, mfaume, daz baba, qchief, na wengine tushawapoteza kama kina ngwea na kanga
Mwenye uelewa type darasa
mtafute DMX NA EMINEN ndo utajua habar ya unga
Mbona mimi natumia lakini sijaharibika?Najiulizaga sana hivi ni kwanini unga cocaine hutumiwa na wasanii wengi sana majuu lakini bado wapo fiti labda kwa zamani ndo kina whitney houston na bobby brown ndo waliharibikiwa, ila ukija bongo wasanii wakigusa tu ndo kwaheri mfano kina chidi, rayc, tid, mfaume, daz baba, qchief, na wengine tushawapoteza kama kina ngwea na kanga
Mwenye uelewa type darasa
Hongera saana! Kwa hilo inabidi waathirika na wenye hizo soba hausi wakutafute uwape ushauriMbona mimi natumia lakini sijaharibika?
View attachment 340957
Eminem kawa babu mmh unga noma
Unajuaje hawaathiriki kama wa kwetu?
unawaona kama unavyo waona hawa wa kwetu?
Wasaniii wa nje wanafanyakazi katika makampuni makubwa
na hivyo hayo makampuni yana waataalam wa PR na masuala ya image sana tu
hiyo ndo tofauti
picha zao wakiwa wamechoka hasimbai sana
picha zao zinazosambazwa na za studio na make ups....
Sayona???..... Umetisha!! [emoji1]Unga, biscuit na sayona kwanini wasidhurike na kufa?
Ni staili tu ya kutumia hii mihadarati. Ni kama bangi tu... wengine wanaharibika na wengine hata huwezi jua kama wanavuta bangi, tena ni waheshimiwaHongera saana! Kwa hilo inabidi waathirika na wenye hizo soba hausi wakutafute uwape ushauri
Ila mjomba sio mchezo watu wanaumia na hii ngadaNi staili tu ya kutumia hii mihadarati. Ni kama bangi tu... wengine wanaharibika na wengine hata huwezi jua kama wanavuta bangi, tena ni waheshimiwa
Kweli. hii kitu wala si ya kukimbiliaIla mjomba sio mchezo watu wanaumia na hii ngada
Najiulizaga sana hivi ni kwanini unga cocaine hutumiwa na wasanii wengi sana majuu lakini bado wapo fiti labda kwa zamani ndo kina whitney houston na bobby brown ndo waliharibikiwa, ila ukija bongo wasanii wakigusa tu ndo kwaheri mfano kina chidi, rayc, tid, mfaume, daz baba, qchief, na wengine tushawapoteza kama kina ngwea na kanga
Mwenye uelewa type darasa