JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Kiukweli unaweza usione faida yoyote lakini faida ipo tena kubwa tu.
Kuna faida kuu mbili
1. Gari ina accelerate faster
2. Gari inakuwa na matumizi mazuri ya mafuta.
Tuachane na gearbox za manual kwanza. Naomba tuzungumzie Automatic Transmissions tu.
Kila kila gear inayokuwa engaged huwa kunakuwa na range ya rpm ambapo hapo ndio maximum power inakuwa transfered kwenda kwenye matairi.
Below hiyo RPM power transfered inakuwa ndogo. Ndio maana itakuwa ni ngumu sana kuaccelerate faster ikiwa gari itaanza na gear namba 5 (let say). Gari itaondoka kwa shida sana.
Ukiwa na fewer gear ratios, utaspend muda mrefu sana kutoka gear moja kwenda gear nyingine. Wakati ukiwa ukiwa na gear ratio nyingi, muda mwingi utaspend katika band ambayo ndio power kubwa inakuwa transfered.
Gari yenye gear ratio nyingi ina accelerate faster kuliko kuliko gari yenye gear ratios chache...
Pia inakuwa na matumizi mazuri ya mafuta kwa sababu engine haiwi kwenye mzigo mkubwa muda mwingi ukilinganisha na gari yenye gear ratios chache...
Ndio maana gari nyingi za mzungu zinaaccelerate faster kuliko gari za mjapani sababu wao walishatoka huko kwenye 4 speed transmission ambazo zimejaa kwa mjapani.
Mjapani anatumia gearbox zenye gear ratios nyingi kwenye matoleo machache sana. Ila gari zake nyingi anaweka tu 4 speed transmission.
Wajapani wa JF karibuni.
Kama unahitaji Diagnosis na repair ya gari lako, 0621 221 606.
Kuna faida kuu mbili
1. Gari ina accelerate faster
2. Gari inakuwa na matumizi mazuri ya mafuta.
Tuachane na gearbox za manual kwanza. Naomba tuzungumzie Automatic Transmissions tu.
Kila kila gear inayokuwa engaged huwa kunakuwa na range ya rpm ambapo hapo ndio maximum power inakuwa transfered kwenda kwenye matairi.
Below hiyo RPM power transfered inakuwa ndogo. Ndio maana itakuwa ni ngumu sana kuaccelerate faster ikiwa gari itaanza na gear namba 5 (let say). Gari itaondoka kwa shida sana.
Ukiwa na fewer gear ratios, utaspend muda mrefu sana kutoka gear moja kwenda gear nyingine. Wakati ukiwa ukiwa na gear ratio nyingi, muda mwingi utaspend katika band ambayo ndio power kubwa inakuwa transfered.
Gari yenye gear ratio nyingi ina accelerate faster kuliko kuliko gari yenye gear ratios chache...
Pia inakuwa na matumizi mazuri ya mafuta kwa sababu engine haiwi kwenye mzigo mkubwa muda mwingi ukilinganisha na gari yenye gear ratios chache...
Ndio maana gari nyingi za mzungu zinaaccelerate faster kuliko gari za mjapani sababu wao walishatoka huko kwenye 4 speed transmission ambazo zimejaa kwa mjapani.
Mjapani anatumia gearbox zenye gear ratios nyingi kwenye matoleo machache sana. Ila gari zake nyingi anaweka tu 4 speed transmission.
Wajapani wa JF karibuni.
Kama unahitaji Diagnosis na repair ya gari lako, 0621 221 606.