Kwanini ununue gari ambayo gearbox ina gear ratios(more speed numbers) nyingi? Nini faida yake?

Kwanini ununue gari ambayo gearbox ina gear ratios(more speed numbers) nyingi? Nini faida yake?

Jana bwana nilikuwa na mausingizi nikawa sielewi hata umetuma kitu gani.

Kama kawaida ya madalali wetu...🤣🤣🤣🤣
Madalali sio watu wazuri kabisaa, kununua humu gari ndani ya nchi kwasababu unakuta una haraka ya gari tu, ila wapigaji sana na wengi wanalenga faida kubwa sanaaa.. 22m to 37m gape. kubwa sanaaa
 
Madalali sio watu wazuri kabisaa, kununua humu gari ndani ya nchi kwasababu unakuta una haraka ya gari tu, ila wapigaji sana na wengi wanalenga faida kubwa sanaaa.. 22m to 37m gape. kubwa sanaaa
Yaani mtu anayeuza performance car yoyote. Mwambie akutumie picha ya Dashboard. Chini ya 280 kimbia haraka.
 
JituMirabaMinne
Offshore Seamen
Hili dubwasha unaliewa kazi yake vizuri?

Pili unaelewage ukisia AMG version? naona kama kuwa ka msemo wa madali wengi.. AMG versio inakuwaje asee

View attachment 2081539
Daah wamekuona wewe Ni msukuma aisee [emoji1][emoji1][emoji1]

Wakimaliza hapo watakuuzia BMW 3 au 5 series ya kawaida halafu wakubandikie kile kilogo Cha M-series na uambiwe hii Ni M3 au M5 na uingie king
 
Daah wamekuona wewe Ni msukuma aisee [emoji1][emoji1][emoji1]

Wakimaliza hapo watakuuzia BMW 3 au 5 series ya kawaida halafu wakubandikie kile kilogo Cha M-series na uambiwe hii Ni M3 au M5 na uingie king
😀😀😀😀😀😀 Haiwezekanii aseeeee.. japo nimetoka matokoni mwa nchi.. machale yanacheza chezaaa 🤣🤣🤣.. huu sio mda wa kupigwa kabisaaa
 
Unachokisema ni kweli kabisa mkuu, Kuna siku nilikuwa na ractis yenye CVT gear box 1NZ,nilimuacha vibaya jamaa mwenyewe harrier tako la nyani mlimani mpaka akashangaa

Ila CVT ya Ractis ni 4 speed transmission.

CVT ni nzuri kwenye fuel consumption. Ila ipo limited kwenye mwendo.

Unless kama jamaa hakuwa anajua kama mnashindana.
 
Ila CVT ya Ractis ni 4 speed transmission.

CVT ni nzuri kwenye fuel consumption. Ila ipo limited kwenye mwendo.

Unless kama jamaa hakuwa anajua kama mnashindana.
Mkuu zipo za aina mbili, Kuna ya 4 na ya 6 hata 1NZ inayotumia ya 6 iko tofauti na 1NZ zingine
 
Mkuu zipo za aina mbili, Kuna ya 4 na ya 6 hata 1NZ inayotumia ya 6 iko tofauti na 1NZ zingine
Sawa japo CVT ndio haijatengenezwa kwa ajili ya mwendo.

Kwenye hard acceleration CVT utaikataa.
 
Utajuaje kujua gari ya auto ina gear ratio ngapi ?
Kwa gari za toyota unaweza kujua kirahisi sana.

Almost kila gari ya toyota inakuwa na kibati ambacho kinakuwa na taarifa za gari husika. Kinakuwa kule mbele ukifungua Bonet kwenye toyota za zamani au kwenye frame ya mlango wa mbele wa abilia kwa toyota za sasa.

Kwa Toyota hicho kibati kuna sehemu kinaandikwa Trans/Axle Mfano A42D ni 4 speed

A250 ni 5 speed

A960 ni 6 speed

AA80E ni 8 speed Transmission n.k.

Kwa gati kaka Benz baadhi utazikuta kule nyuma zimeandikwa

Mfano 7G tronic ni 7 Speed

Kwa gari kwa gari zilizobaki nyingi mpaka ufatilie hiyo model mtandaoni.
 
Kuwa na matumizi mazuri ya mafuta ni sahihi kabisa.... Zamani hata mimi nilikuwa najua CVT inachanganya faster ila practically siyo kweli....

Kwa Gearbox zilizozoeleka

DSG ndio inaongoza kwa kuchanganya.

Manual Transmission iko nafasi ya pili

Traditional Automatic Transmission iko nafasi ya tatu.

CVT iko nafasi ya nne. CVT inashika mkia sababu Wameilimit kwenye ECU ili belt isije ikaslip.
Ulichosema ni kweli kabisa mkuu, binafsi nilikuwa napata wakati mgumu sana kukubaliana na vile nilisikia kuwa gari yenye cvt inachanganya haraka kuliko Atf type 4 n.k

Nina washkaji zngu wanahizo gari ambazo ni toyota rumio na fielder 2009, kusema kweli zinapo anza kuondoka huwa zinalalamika sana yaaan nguvu inakuwa ndogo tena usiombe kuwe na kizuiz kama vile mchanga n.k.

Nikawa najisemea au zinatatizo hizi gari!? Sikuwahi kupata jibu hadi hapo ulvyozungumza aisee. Ila kwenye tambarare zipo vizuri sana na zinatumia mafuta vizuri sana aisee. Unawwza fika 80k/h rpm ipo kwenye 1000 (1).

Kwa gar nyingi ambazo hazitumii cvt speed kuanzia 80 kuendelea rpm lazma iwe chin kidogo ya 2000 (2) au zaid hataiwe kwenye mteremko.
 
Ulichosema ni kweli kabisa mkuu, binafsi nilikuwa napata wakati mgumu sana kukubaliana na vile nilisikia kuwa gari yenye cvt inachanganya haraka kuliko Atf type 4 n.k

Nina washkaji zngu wanahizo gari ambazo ni toyota rumio na fielder 2009, kusema kweli zinapo anza kuondoka huwa zinalalamika sana yaaan nguvu inakuwa ndogo tena usiombe kuwe na kizuiz kama vile mchanga n.k.

Nikawa najisemea au zinatatizo hizi gari!? Sikuwahi kupata jibu hadi hapo ulvyozungumza aisee. Ila kwenye tambarare zipo vizuri sana na zinatumia mafuta vizuri sana aisee. Unawwza fika 80k/h rpm ipo kwenye 1000 (1).

Kwa gar nyingi ambazo hazitumii cvt speed kuanzia 80 kuendelea rpm lazma iwe chin kidogo ya 2000 (2) au zaid hataiwe kwenye mteremko.
Hii sio CVT ila angalia speed vs rpm
 
Wajapani hawafanyi hvyo maana ni rahisi sana kwa engine yenye gear ratio kubwa kuharibika ukiringanisha na yenye ratio ndogo
Mzungu anaangalia sana performance na luxiury, mjapani kabase sana kwenye reliability
 
Back
Top Bottom