Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Madalali sio watu wazuri kabisaa, kununua humu gari ndani ya nchi kwasababu unakuta una haraka ya gari tu, ila wapigaji sana na wengi wanalenga faida kubwa sanaaa.. 22m to 37m gape. kubwa sanaaaJana bwana nilikuwa na mausingizi nikawa sielewi hata umetuma kitu gani.
Kama kawaida ya madalali wetu...🤣🤣🤣🤣
Yaani mtu anayeuza performance car yoyote. Mwambie akutumie picha ya Dashboard. Chini ya 280 kimbia haraka.Madalali sio watu wazuri kabisaa, kununua humu gari ndani ya nchi kwasababu unakuta una haraka ya gari tu, ila wapigaji sana na wengi wanalenga faida kubwa sanaaa.. 22m to 37m gape. kubwa sanaaa
Vizuri kuangalia Engine.. haidanganyi.. hiyo. Madalali wetu wanaweza wakawa na moto wao special 😁😁😁Yaani mtu anayeuza performance car yoyote. Mwambie akutumie picha ya Dashboard. Chini ya 280 kimbia haraka.
Daah wamekuona wewe Ni msukuma aisee [emoji1][emoji1][emoji1]JituMirabaMinne
Offshore Seamen
Hili dubwasha unaliewa kazi yake vizuri?
Pili unaelewage ukisia AMG version? naona kama kuwa ka msemo wa madali wengi.. AMG versio inakuwaje asee
View attachment 2081539
😀😀😀😀😀😀 Haiwezekanii aseeeee.. japo nimetoka matokoni mwa nchi.. machale yanacheza chezaaa 🤣🤣🤣.. huu sio mda wa kupigwa kabisaaaDaah wamekuona wewe Ni msukuma aisee [emoji1][emoji1][emoji1]
Wakimaliza hapo watakuuzia BMW 3 au 5 series ya kawaida halafu wakubandikie kile kilogo Cha M-series na uambiwe hii Ni M3 au M5 na uingie king
😄😄😄 Naona hawakujui vzr mzee baba😀😀😀😀😀😀 Haiwezekanii aseeeee.. japo nimetoka matokoni mwa nchi.. machale yanacheza chezaaa 🤣🤣🤣.. huu sio mda wa kupigwa kabisaaa
😀😀😀 Hela ingekuwa tunaokotoa kupigwa sawaaa.. ila tunaipata kwa jasho la damu na kuwindana kama swala 😂😂😂.. mademu wenyewe sasa hivi hadi wawe na receipt za EFD ndio tunawapa pesaaa😄😄😄 Naona hawakujui vzr mzee baba
Unachokisema ni kweli kabisa mkuu, Kuna siku nilikuwa na ractis yenye CVT gear box 1NZ,nilimuacha vibaya jamaa mwenyewe harrier tako la nyani mlimani mpaka akashangaa4 speed na 9 speed zikikaa road ni ardhi na mbingu.
Ractis iwe na mwendo kuliko tako la nyani? Alijua mnashindana?Unachokisema ni kweli kabisa mkuu, Kuna siku nilikuwa na ractis yenye CVT gear box 1NZ,nilimuacha vibaya jamaa mwenyewe harrier tako la nyani mlimani mpaka akashangaa
Mkuu unaijua Ractis G package yenye auto vs manual? kufuta kisahani kwa muda mfupi ni kugusa tu ina 6 speed. CVTRactis iwe na mwendo kuliko tako la nyani? Alijua mnashindana?
Unachokisema ni kweli kabisa mkuu, Kuna siku nilikuwa na ractis yenye CVT gear box 1NZ,nilimuacha vibaya jamaa mwenyewe harrier tako la nyani mlimani mpaka akashangaa
Mkuu zipo za aina mbili, Kuna ya 4 na ya 6 hata 1NZ inayotumia ya 6 iko tofauti na 1NZ zingineIla CVT ya Ractis ni 4 speed transmission.
CVT ni nzuri kwenye fuel consumption. Ila ipo limited kwenye mwendo.
Unless kama jamaa hakuwa anajua kama mnashindana.
Sawa japo CVT ndio haijatengenezwa kwa ajili ya mwendo.Mkuu zipo za aina mbili, Kuna ya 4 na ya 6 hata 1NZ inayotumia ya 6 iko tofauti na 1NZ zingine
Wakati mwingine mtu hataki ligi, hivyo unaweza kusema kwamba umeichakaza kume yeye bado hajafanya 100% ya utilization ya potentila ya Gari husika.Labda hiyo Benz ilikuwa mbovu sana. Hivyo ikawa inachechemea.
Maana dah hilo haliwezekani.
Kwa gari za toyota unaweza kujua kirahisi sana.Utajuaje kujua gari ya auto ina gear ratio ngapi ?
Ulichosema ni kweli kabisa mkuu, binafsi nilikuwa napata wakati mgumu sana kukubaliana na vile nilisikia kuwa gari yenye cvt inachanganya haraka kuliko Atf type 4 n.kKuwa na matumizi mazuri ya mafuta ni sahihi kabisa.... Zamani hata mimi nilikuwa najua CVT inachanganya faster ila practically siyo kweli....
Kwa Gearbox zilizozoeleka
DSG ndio inaongoza kwa kuchanganya.
Manual Transmission iko nafasi ya pili
Traditional Automatic Transmission iko nafasi ya tatu.
CVT iko nafasi ya nne. CVT inashika mkia sababu Wameilimit kwenye ECU ili belt isije ikaslip.
Hii sio CVT ila angalia speed vs rpmUlichosema ni kweli kabisa mkuu, binafsi nilikuwa napata wakati mgumu sana kukubaliana na vile nilisikia kuwa gari yenye cvt inachanganya haraka kuliko Atf type 4 n.k
Nina washkaji zngu wanahizo gari ambazo ni toyota rumio na fielder 2009, kusema kweli zinapo anza kuondoka huwa zinalalamika sana yaaan nguvu inakuwa ndogo tena usiombe kuwe na kizuiz kama vile mchanga n.k.
Nikawa najisemea au zinatatizo hizi gari!? Sikuwahi kupata jibu hadi hapo ulvyozungumza aisee. Ila kwenye tambarare zipo vizuri sana na zinatumia mafuta vizuri sana aisee. Unawwza fika 80k/h rpm ipo kwenye 1000 (1).
Kwa gar nyingi ambazo hazitumii cvt speed kuanzia 80 kuendelea rpm lazma iwe chin kidogo ya 2000 (2) au zaid hataiwe kwenye mteremko.
Mkuu gear ya automatic ikiingia si unaziskia tofauti na CVT mkuu!