Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kipi alicho watendea hao wapinzani. Wao wanataka mambo yao sio waumini wa itikadi na falsafa za nyerereChadema haijatuma muwakilishi yoyote wa ngazi ya kitaifa, hii ni chuki iliyokithiri kwa Hayati J. K. Nyerere.
Bora hao ambao hawakwenda kwenye hiyo shughuli ya kishirikina kuliko CCM ambayo imeua kabisa ile misingi mizuri aliyoiasisi Mwalimu Nyerere. Mnaacha kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa mnaadhimisha siku aliyokufa huu ni uchawi kabisa.Chadema haijatuma muwakilishi yoyote wa ngazi ya kitaifa, hii ni chuki iliyokithiri kwa Hayati J. K. Nyerere.
Kaacha katiba ya hovyo snKwa kipi alicho watendea hao wapinzani. Wao wanataka mambo yao sio waumini wa itikadi na falsafa za nyerere
Sana aisee. Katiba tatzo sana hii kwetu vijanaKaacha katiba ya hovyo sn
Kwenda pale ni kwenda kwenye zindiko la kishetani kabisaBora hao ambao hawakwenda kwenye hiyo shughuli ya kishirikina kuliko CCM ambayo imeua kabisa ile misingi mizuri aliyoiasisi Mwalimu Nyerere. Mnaacha kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa mnaadhimisha siku aliyokufa huu ni uchawi kabisa.
Tupambane kuwatoa hawa wakoloniSana aisee. Katiba tatzo sana hii kwetu vijana
Chadema mnaamini ushirikina sana, haha mkienda Kilimanjaro kuhesabiwa huwa mnachinja mbuzi usiku, mnatupa nyama kwenye kona za shamba, mbwa wakipita usiku wakazitafuna, mnasema wazee wamekula kwa hiyo tambiko limekubaliwa. Ushirikina mtupuKwenda pale ni kwenda kwenye zindiko la kishetani kabisa
Lini ulienda ukakuta hicho kitu? CCM imejaa ushirikina tupuChadema mnaamini ushirikina sana, haha mkienda Kilimanjaro kuhesabiwa huwa mnachinja mbuzi usiku, mnatupa my amazing kwenye kona za shamba, mbwa wakipita usiku wakazitafuna, mnasema wazee wamekula kwa hiyo tambiko limekubaliwa. Ushirikina mtupu
Binadamu bhana hasa wanaojiita Wana CCM wana akili za hovyo sana humu Jamiiforums wangetuma Mwakilishi mngesema, hawajatuma mnasema. Jifunzeni basi kujishikilia 🤣🤣🤣Chadema mnaamini ushirikina sana, haha mkienda Kilimanjaro kuhesabiwa huwa mnachinja mbuzi usiku, mnatupa my amazing kwenye kona za shamba, mbwa wakipita usiku wakazitafuna, mnasema wazee wamekula kwa hiyo tambiko limekubaliwa. Ushirikina mtupu
hawana maono tena wale,Chadema haijatuma muwakilishi yoyote wa ngazi ya kitaifa, hii ni chuki iliyokithiri kwa Hayati J. K. Nyerere.

Kwa nini hizi kelele za kutokua na maono, zisiwepo kwa chauma au UDP?hawana maono tena wale,
lakini zaidi sana,
hata ukiwatazama tu walivyo,
wamekata tamaa kabisa, na silaha ya mwisho waliyobaki nayo kisiasa ni ushirikina, ramli chonganishi, kutoana kafara na kuchukua vijana misukule ili wapate uongozi ndani ya chama chao huku wakisingizia vitu vingine kabisa![]()
Kweli kabisa, lile tukio la mzee vibao nadhani ni sehemu ya matambiko yaohawana maono tena wale,
lakini zaidi sana,
hata ukiwatazama tu walivyo,
wamekata tamaa kabisa, na silaha ya mwisho waliyobaki nayo kisiasa ni ushirikina, ramli chonganishi, kutoana kafara na kuchukua vijana misukule ili wapate uongozi ndani ya chama chao huku wakisingizia vitu vingine kabisa![]()