Acha uchochezi mkuu!
Ulisema upo single, na mimi nipo single!Wacha bwana!!
Hata mimi pia sijapata mdada anaenipenda, karibia kila mdada ninaemtongoza baada ya mda mfupi ananiomba hela 🥹 Miss Natafuta @To yeye Ms R binti kiziwi Cute WifeSijapata Tu anaenipenda
Weeeh wapi huko?Ulisema upo single, na mimi nipo single!
Ndo sifa kuu ya mwanamke bora
Weeeh! Kwahiyo mtufanyie mazingaombwe ila tuvumilie tu🙆♂️😭😭Ndo sifa kuu ya mwanamke bora
Vumilia tu mamaangu baba chanja si anakutunza?Weeeh! Kwahiyo mtufanyie mazingaombwe ila tuvumilie tu🙆♂️😭😭
Aaah mkuu hufai kuwa mshauri🤣🤣🤣Vumilia tu mamaangu baba chanja si anakutunza?
Nje jua ni kali 😀🤥🤥🤥
Naona umerecover...vizuri sana. Maana dàh ulinyong'onyea kinoma😂 niacheni niinjoy, no place for dipresheni hia, usingle raha sana.
Lini hiyo nilinyong'onyea ?Naona umerecover...vizuri sana. Maana dàh ulinyong'onyea kinoma
Maziwa hayo hayo tena matam kuliko ata ya wanaofuga😂Maziwa gani wewe, acha kujifariji.
Binafsi siamomi mwanamke yeyote zaidi ya Mama yangu mzazi na dada zangu tuKila kitu kipo kwa sababu, watu wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa sababu mbalimbali zinazoeleweka kabisa kama kujenga familia nk.
Sasa kwa nyinyi mlio single Nipe Sababu ya msingi kabisa kwa nini upo single?.
Ni vizuri kama umesha sahauLini hiyo nilinyong'onyea ?