Nimegoma mkuu! Ila amini tu hakuna mtu single, hayupo😂
🤣🤣🤣🤣🤣Usitudanganye, huwezi kuwa single hata wiki.
tafuta mwenyewe mkuuNipe connection
Hayaelezeki kwa mdomo, yakupasa uonje mwenyewe.Yapi hayo
Lack of capital
.....Division of Labour.Land alienation
Unajuaje kama sikujui?Sasa huo umbea babu😅
Hunifahamu unapinganaje na maneno yangu
Dah kweli job true truemishangazi inakamia babu mpk unawaka moto...🤣
Hayaelezeki kwa mdomo, yakupasa uonje mwenyewe.
Miguu ndoo kama tembo.Zaidi ya bia 🤣🤣🤣
Hili lilikuwa somo gani na topic gani nyie ma-genius mtukumbushe sie back benchers.....Division of Labour.
......Low wages
..... Poverty.
.....Globalization
Usifany hivyo plizzSihitaji
Weka details zangu kama wanijua nimekuruhusu acha kujitutumua babuUnajuaje kama sikujui?
Na nyumbu piaMiguu ndoo kama tembo.
kuwa single ukiwa na umri mkubwa ni sawa na ugonjwa
Umesahau poor infrastructuremalizia kabisa
land alienation
forced labour
scramble and partition of heart!
Kwa kipimo hicho nitakuwa nimesha fail kabla ya mechi kuanziaBwana wee unaambiwa kipimo kipya ni je kidume unaweza tuma laki ya kutatua dharura ya mrembo bila wewe kunungunika
Njoo pm nikuambieMwisho kuwa single ni umri gani?? 🤔
Au sio Yan kwahyo wanaleta sheria kama za microfinance kwamba il wakukopeshe kazima account yako iwe na laki moja🤣Bwana wee unaambiwa kipimo kipya ni je kidume unaweza tuma laki ya kutatua dharura ya mrembo bila wewe kunungunika
🤣😉❤️😅😍😁Na nyumbu pia