Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah lazima nae awe bikra 🔥Labda na yeye kama ni bikira ila tofaugi na hapo huo ni upuuzi
malizia kabisaLack of capital
Tafuta unayempenda siyo lazima aanze yeye kukupenda😁Sijapata Tu anaenipenda
Dipresheniiiiiiii unaenjoy nini wewe! Hizo ni dipresheni, wewe sio panga🤣🤣Nainjoy
Sioni sababu ya kuwa na mwanamkeKila kitu kipo kwa sababu, watu wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa sababu mbalimbali zinazoeleweka kabisa kama kujenga familia nk.
Sasa kwa nyinyi mlio single Nipe Sababu ya msingi kabisa kwa nini upo single?.
Kuna muhuni aliwahi kumuibia mwamba kwa stahili hio ya kuweka wallpaper ya laptop iliyopasuka akamwambia mwamba kwamba kumvunjia kioo cha laptop yake kisha akachukua laptop ya mwamba kwamba hampi laptop yake mpaka mwamba amlipe mwamba sababu hapendi fujo akaona kiroho safi tu amtoe muhuni alikua anataka 50k yaan efu 50 mwamba kwa kua kwao sio njaa akavuta waya hela ikaingia sababu alijua muhuni ana njaa basi muamala ukasoma akamtoa muhuni 50 yake ila mwamba hakufurahishwa na ile kitu muhuni si bora angesema tu njaa imemkaba kuliko kuiba kupitia wallpaper iliyopasukanikahisi laptop yangu imepasuka kioo, badilii hiyo profile picture
Kwa sababu hawajui yanahusu niniNobody is single kwa huu upepo,
Wengi wana mahusiano ambayo hawtawai huyaongelea public
😂 niacheni niinjoy, no place for dipresheni hia, usingle raha sana.Dipresheniiiiiiii unaenjoy nini wewe! Hizo ni dipresheni, wewe sio panga🤣🤣
Kwani nauza mapenzi kule dear.?hata wale wateja wa kanda ya ziwa, hakuna hata mmoja?
Umedanganywa😅Wanasema ukiwa single huwezi kuinjoy abadan
Wao labdaWanasema ukiwa single huwezi kuinjoy abadan