Kwanini upo single?

Kwanini upo single?

nikahisi laptop yangu imepasuka kioo, badilii hiyo profile picture
Kuna muhuni aliwahi kumuibia mwamba kwa stahili hio ya kuweka wallpaper ya laptop iliyopasuka akamwambia mwamba kwamba kumvunjia kioo cha laptop yake kisha akachukua laptop ya mwamba kwamba hampi laptop yake mpaka mwamba amlipe mwamba sababu hapendi fujo akaona kiroho safi tu amtoe muhuni alikua anataka 50k yaan efu 50 mwamba kwa kua kwao sio njaa akavuta waya hela ikaingia sababu alijua muhuni ana njaa basi muamala ukasoma akamtoa muhuni 50 yake ila mwamba hakufurahishwa na ile kitu muhuni si bora angesema tu njaa imemkaba kuliko kuiba kupitia wallpaper iliyopasuka
 
Mahusiano yapo ila unakuwa hujui yanahusu nini .so inabidi upite hivi.usingle ni mzuri kila kitu kina side mbili muhimu tunapumua.hata wenye mahusiano ndoa Wana side mbili.muhimu ni kuishi kwa furaha .usilazimishe mtu kwenye maisha yako.
 
Back
Top Bottom