Kwanini US/NATO yupo nje akiwa mtazamaji wa vita ya Urusi na Ukraine?

Kwanini US/NATO yupo nje akiwa mtazamaji wa vita ya Urusi na Ukraine?

Enkaly

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
307
Reaction score
428
Katika vita hii inayoendelea kati ya Russia na Ukrain, moja ya influencer wakubwa wa mgogoro huu ni US, na kampan yake kwa kigezo watamlinda mdau wao Ukrain/Zelensky.

US kwa kuona mbali ukuaji wa uchumi wa ulaya hasa U Germany, iliingiwa na hofu, ikaandaa mkakati ambao umefikia leo.

Ikumbukwe kwamba miaka kadhaa, aliyekua chancellor wa Ujeruman Angela Markel, CIA walijaribu kudukuu au kuhack mazungumzo yake ya simu na Putin. Wakati huo mezani kukiwa na discussion ya BREXIT.

Wengi wetu tunafaham uchumi wa ulaya, sehem kubwa umeshikwa na Ujeruman, Ufaransa na Uingereza, hivyo ndani ya EU Uingereza imeshajitoa, zimesalia nchi mbili giant.

Hivi karibuni baada ya stream2 kukamilika, US ikaona Ujerman itapiga hatua kubwa sana kwa nishati hiyo, hivyo wakaanza leta vikwazo na mengineyo.

Vita vya uchumi vinaendeshwa kwa akili sana, US amekaa pembeni anachabo who is going to gain.
 
Hayupo nje,yupo na wapo ila kisirisiri,ushauri wa kitaalamu,kiufundi na vifaa wanatoa,ila pia wakiendeleza mambo haya hii vita itakuwa kubwa na itaiathiri sana Dunia, Kwa tamaa na manufaa ya wachache,Nato maana ya ulaya na America wanauza silaha na vifaa vinavyohusika,hatakama hawatapata pesa Leo,ni uwanja wa majaribio ya silaha za Kila mmoja Kwa ahadi ya malipo au fadhila za wakati ujao,ila wasisahauuchina na wengine hawapendi na wapo tayari kiyatafuta maslahi yao pia na pia kuijaribu teknoolojia yao inapoonekana fursa.
 
Hayupo nje,yupo na wapo ila kisirisiri,ushauri wa kitaalamu,kiufundi na vifaa wanatoa,ila pia wakiendeleza mambo haya hii vita itakuwa kubwa na itaiathiri sana Dunia, Kwa tamaa na manufaa ya wachache,Nato maana ya ulaya na America wanauza silaha na vifaa vinavyohusika,hatakama hawatapata pesa Leo,ni uwanja wa majaribio ya silaha za Kila mmoja Kwa ahadi ya malipo au fadhila za wakati ujao,ila wasisahauuchina na wengine hawapendi na wapo tayari kiyatafuta maslahi yao pia na pia kuijaribu teknoolojia yao inapoonekana fursa.
Kweli
FPtWuwuXoAQcMQY.jpg
 
Hayupo nje,yupo na wapo ila kisirisiri,ushauri wa kitaalamu,kiufundi na vifaa wanatoa,ila pia wakiendeleza mambo haya hii vita itakuwa kubwa na itaiathiri sana Dunia, Kwa tamaa na manufaa ya wachache,Nato maana ya ulaya na America wanauza silaha na vifaa vinavyohusika,hatakama hawatapata pesa Leo,ni uwanja wa majaribio ya silaha za Kila mmoja Kwa ahadi ya malipo au fadhila za wakati ujao,ila wasisahauuchina na wengine hawapendi na wapo tayari kiyatafuta maslahi yao pia na pia kuijaribu teknoolojia yao inapoonekana fursa.
ulitaka Ukraine iachwe ikiteketezwa ?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Eurocentricity na WHITE SUPREMACISM ndio adui yetu mkubwa wa nchi zinazoendelea......

Haya mambo hayako kwa bahati mbaya....

Kinachotangulizwa mbele ni MASLAHI MAKUBWA YA KIBIASHARA NA FEDHA halafu ndio hufuatia UTU....UTU WA MWANADAMU...hasa MWANADAMU asiyetoka upande wa ulaya magharibi na magharibi mwa dunia.......

#YetzerHatov
#Siempre JMT🙏
 
Hii nimeiotoa sehem, just get a look

Profile photo for Lance Chambers


Lance Chambers
Interested in US politics since the Kennedy assassination.Updated Mar 29

Is the West fooling Zelensky into a war with Russia?
I think Zelensky now realises that NATO and the West have conned him into a war with Russia and the war was to ‘test’ Russian capabilities to wage a war.
We now know the answer - Russia can have a war and still survive while the rest of the world sees prices rising at incredible rates, Europe needs gas to sustain its economies and Russia is still selling gas to Europe but to get Russian gas you now have to pay in rubles and Putin determines the exchange rate*.


Putin demands gas payments in rubles in sanctions workaround attempt
Russia may be looking for ways to place some of the burden of sanctions on Western economies and companies.
https://fortune.com/2022/03/24/putin-russia-natural-gas-europe-imports-pay-in-rubles-sanctions/

The really dumb thing is that Russia is self-sufficient in food, crops, resources, oil, gas, etc. This war has had no impact on Russia militarily or on Russian citizens.
* Selling only in rubles means that Putin cannot be economically sanction by ANYONE for the money he makes from Russian gas sales. Russian gas is vital to the survival of a host of nations.
This war started by NATO and the Western world was the dumbest test of Russia that I can imagine.
 
Hakuna unachojua wewe, ni stori za vijiweni tu unaleta. Nonsense.
 
Katika vita hii inayoendelea kati ya Russia na Ukrain, moja ya influencer wakubwa wa mgogoro huu ni US, na kampan yake kwa kigezo watamlinda mdau wao Ukrain/Zelensky.

US kwa kuona mbali ukuaji wa uchumi wa ulaya hasa U Germany, iliingiwa na hofu, ikaandaa mkakati ambao umefikia leo.

Ikumbukwe kwamba miaka kadhaa, aliyekua chancellor wa Ujeruman Angela Markel, CIA walijaribu kudukuu au kuhack mazungumzo yake ya simu na Putin. Wakati huo mezani kukiwa na discussion ya BREXIT.

Wengi wetu tunafaham uchumi wa ulaya, sehem kubwa umeshikwa na Ujeruman, Ufaransa na Uingereza, hivyo ndani ya EU Uingereza imeshajitoa, zimesalia nchi mbili giant.

Hivi karibuni baada ya stream2 kukamilika, US ikaona Ujerman itapiga hatua kubwa sana kwa nishati hiyo, hivyo wakaanza leta vikwazo na mengineyo.

Vita vya uchumi vinaendeshwa kwa akili sana, US amekaa pembeni anachabo who is going to gain.
Mkuu ushatazama GDP ya germany vs GDP ya US? Ni kama mbingu na ardhi.
China ni tishio zaidi kwake kuliko nchi yoyote linapokuja suala la uchumi.
Yani GDP ya US inaizidi germany kama mara 6, wakati inaizidi china kama mara 1.5
 
Katika vita hii inayoendelea kati ya Russia na Ukrain, moja ya influencer wakubwa wa mgogoro huu ni US, na kampan yake kwa kigezo watamlinda mdau wao Ukrain/Zelensky.

US kwa kuona mbali ukuaji wa uchumi wa ulaya hasa U Germany, iliingiwa na hofu, ikaandaa mkakati ambao umefikia leo.

Ikumbukwe kwamba miaka kadhaa, aliyekua chancellor wa Ujeruman Angela Markel, CIA walijaribu kudukuu au kuhack mazungumzo yake ya simu na Putin. Wakati huo mezani kukiwa na discussion ya BREXIT.

Wengi wetu tunafaham uchumi wa ulaya, sehem kubwa umeshikwa na Ujeruman, Ufaransa na Uingereza, hivyo ndani ya EU Uingereza imeshajitoa, zimesalia nchi mbili giant.

Hivi karibuni baada ya stream2 kukamilika, US ikaona Ujerman itapiga hatua kubwa sana kwa nishati hiyo, hivyo wakaanza leta vikwazo na mengineyo.

Vita vya uchumi vinaendeshwa kwa akili sana, US amekaa pembeni anachabo who is going to gain.
We Unafkiri US anataka aibu ya kutolewa Marinda na Russia mbele ya watoto wake
 
Mkuu ushatazama GDP ya germany vs GDP ya US? Ni kama mbingu na ardhi.
China ni tishio zaidi kwake kuliko nchi yoyote linapokuja suala la uchumi.
Yani GDP ya US inaizidi germany kama mara 6, wakati inaizidi china kama mara 1.5
Mtazamo wako mzuri, but mchina kwa US hana madhara makubwa ukilinganisha na German.
Ukifuatilia historia, baada ya vita ya pili ya Dunia, Ujeruman ilikua chini ya mamlaka za kigeni, upande wa mashariki ikiwa chini ya Soviet and Magharibi ikiwa chini ya Western.
Baada ya kusambaratika kwa soviet union na ukuta wa Berlin kuvunjwa, Ujeruman ilirudi kuwa taifa moja lkn chini ya NATO. Ikiwa na maana Ujeruman haiwezi kufanya maamuzi yenyewe kama sovereign state.
 
Mtazamo wako mzuri, but mchina kwa US hana madhara makubwa ukilinganisha na German.
Ukifuatilia historia, baada ya vita ya pili ya Dunia, Ujeruman ilikua chini ya mamlaka za kigeni, upande wa mashariki ikiwa chini ya Soviet and Magharibi ikiwa chini ya Western.
Baada ya kusambaratika kwa soviet union na ukuta wa Berlin kuvunjwa, Ujeruman ilirudi kuwa taifa moja lkn chini ya NATO. Ikiwa na maana Ujeruman haiwezi kufanya maamuzi yenyewe kama sovereign state.
Mmarekani anamwogopa Mchina kuliko hata mgermany. Maana kupitia Nato anawa dectate lakini mchina anafanya yake.
Na ni agressive kwenye kila kitu uchumi, technology, jeshi, utafiti n.k.
Unaona ligi ya hypersonic cruise missile? Mchina katest yake miezi miwili iliopita sijui 3, ilienda space ikazunguka dunia ikarudi ija controlled manner. Uliona vyombo vya US vilivyoshtuka kwa hiyo test. Now ameamua yeye na Australia kupiga collabo katika kudevelop hypersonic missile.
Ukiondoa mrusi, ni mchina pekee ambaye anapiga space mission kama one man show tena kaenda mbele zaidi ana space station yake peke yake. Hata US hana space station yake peke yake.
Uliona juzi wanashtuka mchina ana satelite inayokamata na kusogeza satelite nyingine huko juu.
Ukiachilia hayo, yeye ndiye ana gdp inayomfuata US, yeye ndiye amekuwa agressive akitafuta kuwa influential nchi mbalimbali.
Mchina ana mengi ambayo US hapendi
 
Mmarekani anamwogopa Mchina kuliko hata mgermany. Maana kupitia Nato anawa dectate lakini mchina anafanya yake.
Na ni agressive kwenye kila kitu uchumi, technology, jeshi, utafiti n.k.
Unaona ligi ya hypersonic cruise missile? Mchina katest yake miezi miwili iliopita sijui 3, ilienda space ikazunguka dunia ikarudi ija controlled manner. Uliona vyombo vya US vilivyoshtuka kwa hiyo test. Now ameamua yeye na Australia kupiga collabo katika kudevelop hypersonic missile.
Ukiondoa mrusi, ni mchina pekee ambaye anapiga space mission kama one man show tena kaenda mbele zaidi ana space station yake peke yake. Hata US hana space station yake peke yake.
Uliona juzi wanashtuka mchina ana satelite inayokamata na kusogeza satelite nyingine huko juu.
Ukiachilia hayo, yeye ndiye ana gdp inayomfuata US, yeye ndiye amekuwa agressive akitafuta kuwa influential nchi mbalimbali.
Mchina ana mengi ambayo US hapendi
Argument yako inaweza kuwa sawa, lkn hakuna action ya moja kwa moja ya US kutaka kudhoofisha uchumi wa China, ila kwa ulaya ipo wazi.
Pili German inatafuta power iliyo poteza, ukiangalia kwenye sciences and Technologies Ujeruman ina mchango mkubwa sana, pengine kuliko nchi yoyote Duniani.
 
Back
Top Bottom