Kwanini US/NATO yupo nje akiwa mtazamaji wa vita ya Urusi na Ukraine?

Kwanini US/NATO yupo nje akiwa mtazamaji wa vita ya Urusi na Ukraine?

Argument yako inaweza kuwa sawa, lkn hakuna action ya moja kwa moja ya US kutaka kudhoofisha uchumi wa China, ila kwa ulaya ipo wazi.
Pili German inatafuta power iliyo poteza, ukiangalia kwenye sciences and Technologies Ujeruman ina mchango mkubwa sana, pengine kuliko nchi yoyote Duniani.
Hakuna action ya moja kwa moja?
Hizo ban anazoipiga US kuanzia makampuni yake kibao yamekula sanctions.
Imerudi kuwa na power gani wakati bado iko pale pale. Germany anatengeneza machines that build machines kwa muda wote.
There is no way kwasasa Germany anaweza kumpita US kiuchumi. China peke yake nduye tishio kwake katika nyanja zote.
 
US anahaha kumzuia India asinunue mafuta ila ndio msimamo ule ule kwamba hawato chagua upande, wao wanataka mgogoro uishe kwa njia ya mazungumzo na waziri wa mambo ya nje wakati akuhojiwa alidai India inaagiza mafuta na akasema hata nchi za ulaya bado zinaagiza kwa kiwango kikubwa kuliko India.

Kwa hiyo hii ruble wanaipinga midomoni, ila wakienda kununua mafuta wananunua kwa ruble.
 
Back
Top Bottom