Kwanini usajili wa namba E kwenye magari unakimbia sana?

Kwanini usajili wa namba E kwenye magari unakimbia sana?

Napata ukakasi kuwa magari mengi hapo mwishoni yalifichwa kusajiliwa ili wasubiri namba E, maana gari zilikuwa zinaingia watu wako na chasis tu wanategeana watu wamalizie waanze herufi mpya.

Huu ni umasikini sana sana kwa wenye magari madogo madogo eg, raum, IST, rumion passo nk. hawa watu wanauza gari zao kwa masikini wenzao kulingana na umri wa plate namba. Watu wenye pesa pesa kidogo kuvuta Vanguard, Harrier hili swala la kusubiri herufi E wala hawakuwa nalo ni hawa newcomers sana sana.

Mtaani kuna LC300, mwenye nalo hakuwaza hata limepewa DZU. Baada ya usajili E kuanza naona kasi yake ni kubwa kuliko DZ, mwishoni ilinata sana.

View attachment 2340659
Una picha ya hyo lc 300 series

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kinzilankende[emoji28]

mkuu mambo ya magari haya plate namba zilianza A", ikaja B,ikaja C,ikaja D na sasa ni "E"ndo habari ya mjini hasa kwa wanauza magari aukununua kwa kufata alphabetical order[emoji120]
Mnanichanganya hapo mnaposema zinakimbia. Zinakimbia kivipi? Mnajuaje kama inakimbia wakati kila mtu anasajili gari yake n.k..? Utajuaje kama imefika namba fulani? Je, unaweza ukajichagulia namba? Utajuaje kama hiyo imechukuliwa au la!? Namba husika huwa inasajili magari mangapi hadi iishe? Ni kwa muda gan? Vipi kuhusu piki piki? Je, haitatokea vyombo zaidi ya kimoja kutumia the same namba?

Dah, mambo mengine yanachanganya sana.
 
Mnanichanganya hapo mnaposema zinakimbia. Zinakimbia kivipi? Mnajuaje kama inakimbia wakati kila mtu anasajili gari yake n.k..? Utajuaje kama imefika namba fulani? Je, unaweza ukajichagulia namba? Utajuaje kama hiyo imechukuliwa au la!? Namba husika huwa inasajili magari mangapi hadi iishe? Ni kwa muda gan? Vipi kuhusu piki piki? Je, haitatokea vyombo zaidi ya kimoja kutumia the same namba?

Dah, mambo mengine yanachanganya sana.
Mental illness

Huku sio mahala pako
 
😗
 

Attachments

  • IMG-20220901-WA0002.jpg
    IMG-20220901-WA0002.jpg
    22.6 KB · Views: 28
  • IMG-20220901-WA0003.jpg
    IMG-20220901-WA0003.jpg
    116.4 KB · Views: 27
  • IMG-20220901-WA0000.jpg
    IMG-20220901-WA0000.jpg
    77.5 KB · Views: 31
  • IMG-20220901-WA0001.jpg
    IMG-20220901-WA0001.jpg
    56.1 KB · Views: 31
  • IMG-20220901-WA0004.jpg
    IMG-20220901-WA0004.jpg
    35.5 KB · Views: 30
  • IMG-20220901-WA0005.jpg
    IMG-20220901-WA0005.jpg
    43.7 KB · Views: 26
Magari mengi yaliyonunuliwa mwishoni wakati wa namba DZ yalikuwa yamewekwa tuu bila kusajiliwa namba wakingoja iingie namba E lakini pia hata wengi hawakuwa wakinunua magari wakisubira namba E ilipofika ndio mana unaona E inatembea fasta ila inatarudi kwenye mwendo wake tuu kama kawaida

Sasa D imeishaje Kama magari yalikuwa hayasajiliwi?
 
Mnanichanganya hapo mnaposema zinakimbia. Zinakimbia kivipi? Mnajuaje kama inakimbia wakati kila mtu anasajili gari yake n.k..? Utajuaje kama imefika namba fulani? Je, unaweza ukajichagulia namba? Utajuaje kama hiyo imechukuliwa au la!? Namba husika huwa inasajili magari mangapi hadi iishe? Ni kwa muda gan? Vipi kuhusu piki piki? Je, haitatokea vyombo zaidi ya kimoja kutumia the same namba?

Dah, mambo mengine yanachanganya sana.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mkuu kunywa maji kwanza
 
Mnanichanganya hapo mnaposema zinakimbia. Zinakimbia kivipi? Mnajuaje kama inakimbia wakati kila mtu anasajili gari yake n.k..? Utajuaje kama imefika namba fulani? Je, unaweza ukajichagulia namba? Utajuaje kama hiyo imechukuliwa au la!? Namba husika huwa inasajili magari mangapi hadi iishe? Ni kwa muda gan? Vipi kuhusu piki piki? Je, haitatokea vyombo zaidi ya kimoja kutumia the same namba?

Dah, mambo mengine yanachanganya sana.
Mkuu we Nenda kaangalie zako tu series za kikorea.
 
Back
Top Bottom