Kwanini USHIRIKINA ni dhambi kubwa kuliko zote kuwahi kufanyika hapa duniani?

Mwisho wa siku adhabu ni moto kwa hiyo ukubwa wa dhambi hauleti tofauti ya adhabu. Labda kama mwenye dhambi kubwa zaidi atakaangwa badala ya kuchomwa😏😏 basi hapo kunaweza kuwa na tofauti ya ukubwa dhambi.
 

Mwisho wa siku adhabu ni moto kwa hiyo ukubwa wa dhambi hauleti tofauti ya adhabu. Labda kama mwenye dhambi kubwa zaidi atakaangwa badala ya kuchomwa😏😏 basi hapo kunaweza kuwa na tofauti ya ukubwa dhambi.
Hata huo moto pia una madaraja kama unavyoona maisha haya ya kiulimwengu. Kuna waliojaaliwa uwezo mkubwa kimali na wengine ni mafukara.
 
hizi dini mmeletewa ila mtengenezwe vile wakoloni wenu wanavyotaka.

mchawi mkuu ni huyo aliyekuletea Qur'an na anaongea na kula na majini

Hebu nendeni mkaongee na mizimu ya kwenu mfunguliwe mambo yenu muache ujinga
Hata Waafrika ndiyo wangekuwa waanzilishi wa hizi dini halikadhalika majibu yangekuwa haya haya kwa upande mwingine, hakuna kipya chini ya jua.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Shirk ni fitna
Shirki ni fitna
Shirk ni fitna
Inaleta ugomvi,inaleta hasara inaleta ufakiri na pia inafanya watu wasimtegemee Mungu
Sister eee mbona nikitaka kukutumia message PM inakataa?
 
Maelezo yako ni mengi ila hayana tija, huyo mungu wako umeambiwa na wakoloni
 
Hivi nani mwenye akili kati ya yule aliyeusalimisha uso wake kwa MUNGU aliyeumba mbingu na ardhi au yule ambaye anakwenda kuabudu Mizimu (Mashetani wa kijini ) ambao pia wameumba na Mungu ?
Nani kakwambia hayo maneno zaidi ya wakoloni?
 
Maelezo yako ni mengi ila hayana tija, huyo mungu wako umeambiwa na wakoloni
Mungu wangu ndiye anayelitoa jua mashariki na kulizamisha magharibi..sasa mwambie Mungu wako ww alitoe magharibi na alizamishe mashariki
 
Hamna hyo ishi na upendo ndo nguzo kuu
 
Once dhambi ni dhambi
 
Leo hii ikitokea Rais Ruto ikitokea akasema kuwa Kenya inatawala jiji la Dar-es-salaam .Pasi Rais Samiah atainua majeshi kupambana na Kenya .Why?! Mwanadamu huwa na wivu kwa kile anachokimiliki na Mungu nae ana wivu mkubwa kwa vile anavyovimiliki

Nilikuwa sijui MUNGU ana tabia kama za binadamu
 
Muda mwingine ukifikiria sana utaona mungu anawivu sana
We jaribu kufikiria utaona Yani hataki mtu mwengine asifiwe hataki watu watumie ushirikina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…