Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu yako alikuwa na mali gani, tutajie kwanza au waulize wazee wa ukoo waliopoHili swali kila siku najiuliza sipati majibu sahihi. Utajiri wa mababu zetu umeenda wapi? Uhakika ni kwamba walifanya kazi na walikuwa na mali za kutosha lakini kwa sasa hazionekani tena.
Utajiri una kanuni zake....na mara zote huwa hazitamkwi kwa sauti....na kurasa zake zimefichika kwa ajili ya wateule wachacheHili swali kila siku najiuliza sipati majibu sahihi. Utajiri wa mababu zetu umeenda wapi? Uhakika ni kwamba walifanya kazi na walikuwa na mali za kutosha lakini kwa sasa hazionekani tena.
Kwa hiyo wote wenye hela wanaiba serikalini?Mali nyingi za kitanzania ni za wizi wa mali za umma, hivyo utajiri wa kijanja janja hauwezi kudumu, Hakuna misingi mizuri kama siyo wizi lazima kuwe na ushirikina
Sijui kama umesoma ukaelewaKwa hiyo wote wenye hela wanaiba serikalini?