Najua wengi wetu hatuamini, mambo mengi yatendekayo duniani yana upande wa pili wa kiroho ambao unasaidiana na upande mwingine wa kimwili ili kufanikisha jambo au mambo fulani ya maisha ya binadamu!na upande wa kiroho una side 2 pia upande wa NURU na GIZA.
Sasa tuje kwenye topic ya utajiri asilimia kubwa ya utajiri hasa wa kiafrika, Asia unaambatana na nguvu za kiroho na ni mara chache sana kukuta Tajiri wa kupindukia amepata utajiri kwa juhudi zake binafsi mwanzo mwisho na hapa hatuzungimzii Matajiri mbuzi wenye maduka Kariakoo [emoji23][emoji23]
Sasa tuje tofauti ya Matajiri wa kiafrika na Kiasia.
Matajiri wa kiafrika utajiri wao unaambatana na maagano na makafara mengi sana yakiwemo kuwatoa ndugu zao, na mara nyingi aina hii ya utajiri hupotea pale muhusika anapopotea na yeye na pia utajiri wa kiafrika unaambatana na biashara za dhulma na Magendo ambazo mara chache mwenyewe akiondoka waliobaki wanashindwa kuzi maintains.
Kuna exception ya baadhi ya Matajiri wa kiafrika ambao wako kwenye hizi jumuiya za Siri (secret societies) hapa utajiri huwa unaendelea kizazi na kizazi provided hii imani inaendelea kurithishwa ndani yao.
Utajiri wa kiasia nao wanategemea nguvu za Majini na miungu wengine na wenyewe unategemea makafara na alikes lakini wenzetu uwa wanatengeneza empire ambayo inakubaliana na maamuzi ya familia katika kuudumisha huo utajiri, hii iko applied kwa jamii za Waarabu, Hindi, Chinese, Japanese nk
Mwisho tuzungumzie utajiri wa Kizungu hapa ndipo unapoweza kuta Tajiri ameanza na kushona mtaani na sasa anamiliki viwanda vya nguo! Though na wao wale ma Mogul wana husiana moja kwa moja na Secret societies!
In summary utajiri karibu wote na milki karibu yote ya duniani ina uhusiano wa moja kwa moja na Shetani kama ilivyoainishwa kwenye Biblia takatifu pale shetani alipomwambia Yesu amsujudie na atampa milki na utajiri wote wa duniani! So don't struggle to be rich except to achieve better life wewe na family yako otherwise you will be forced to bow to Lucifer.