Kwanini uteuzi wa Togolani Mavula na Hoyce Temu umezua mjadala?

Kwanini uteuzi wa Togolani Mavula na Hoyce Temu umezua mjadala?

Mwacheni Togolani achape kazi, kama Chalamila na Happy bado ni ma RC tumwache na huyu apige kazi! Hii ndiyo Tz
 
Mavura mnamuonea tu jamani. Ni mmojawapo wa vijana wa kitanzania bora kabisa. Namfahamu vizuri.

Hata kama alipata uteuzi kwa sababu ya ukabila, lakini kwa kweli kabisa sifa anazo tena za kutosha. Uki interact nae hata kwa nusu saa tu utagundua ni mtu/kijana wa kipekee sana.

Hongereni mabalozi wote mlioteuliwa.
 
Kwani Mbowe hakupewa uenyekiti wa Chadema kwa sababu ya uhusiano wake na mzee Edwin?
 
Wivu ni tatizo saana tanzania

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Sana tu Mkuu..kuwa na ufaulu mdogo kunahusiana nini..maisha aliyopitia ni elimu tosha ya kumuwezesha kufanya kazi yake..kimsingi haendi kufanya kila kitu yeye kuna wasaidizi wake ambao ni wataalamu.
Zile itifaki zingine za kibalozi unafundishwa na chuo cha Diplomasia kabla ya kwenda kwenye kituo cha kazi.
 
Sana tu Mkuu..kuwa na ufaulu mdogo kunahusiana nini..maisha aliyopitia ni elimu tosha ya kumuwezesha kufanya kazi yake..kimsingi haendi kufanya kila kitu yeye kuna wasaidizi wake ambao ni wataalamu.
Zile itifaki zingine za kibalozi unafundishwa na chuo cha Diplomasia kabla ya kwenda kwenye kituo cha kazi.
Kweli kabisa

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Wao sio Watanzania kuhudumu katika nafasi hizo walizoteuliwa nazo!? Andry Rajoelina huko Madagascar alipoukwaa urais alikuwa anafanya kazi gani? Hapo Liberia kwa Apong Weah alikuwa nan na anataaluma gani!?
 
Watu kama wewe Lazima mpasuke Roho
Simjui kabisa hivyo sina pa kuanzia kupasuka roho. Unashindwa kuunganisha mambo, kwanini hawa wazue mjadla, ina maana kuna kitu hakiko swa. Uwe na akili za udadisi
 
Kwanini hawakumlazimisha Zitto Kabwe?
He was very junior and new in Chadema. Mbowe alimpa hata gari ya kufanyia kampeni, he had nothing in all aspects.... kama ulimsikiliza katika kipindi cha talk with Lisu?? (nimesahu kwa usahihi kinaitwaje) alisema hata hiyo gari haikurudishwa mpaka leo walivyokuwa marafiki wazuri. Hivyo hakuwa na sifa za kuwa Mwenyekiti
 
Waswahili wanasema usipende kumfanyia binadamu mwenzako kitu usichopenda kufanyiwa. Enzi za mfalme herode ndio alionyesha ukabila dhahiri. Sekta nyingi kule juu juu utakuta wasukuma au watu wa kanda ya ziwa aliwabagua sana watu wa kanda nyingine. Ilikua hata ukipata kazi serikalini kama Kuna position ya juu boss wako lazima atamteua msukuma awe kiongozi kwa kujipendekeza kwa bwana herode. Alafu mkae mkijua chama kinawenyewe mfalme herode alipewa lift tu akawa anapiga na honi. Kwasasa wenye chama na wenye nchi yao wamerudi sasa mnaanza kupiga kelele hata miezi sita haijaisha, Bado sana mtapiga kelele mpaka makoo yakauke. Na Lile limekua ni funzo sizani kama watakuja kujichanganya kama ilivyotokea 2015.
Aisee umegusa penyewe. MAGUFULI aliendekeza ukabila kupitiliza. Mwisho wao umefika sasa ni zamu ya maendeleo na sehemu zingine nchi kubwa hii.
 
Yes ni msomi na .mtumishi mwandamizi wizara ya mambo ya nje .ana stahili kabisa.
Mimi simjui ndiyo namsikia, ndiyo maana nikajiuliza kwanini anajadiliwa? Nikasearch ndiyo nikapata hicho nilichokindika. Sisemi hawezi, no! Kwa mdadisi utajiuliza kwanini anajadiliwa na Hoyce temu. Hoyce it might be Ok kwa vle ametoka kwenye u-miss ambao mimi nauterm kama approved umalaya..... wa kuonyesha mapaja mbele za watu.. watu lazima washituke uteuzi wake
 
Kwani Mbowe hakupewa uenyekiti wa Chadema kwa sababu ya uhusiano wake na mzee Edwin?
Ngoja nikuombee nafasi ya waiters pale Aishi Hotel machame maana naona kila teuzi zikitoka jina lako linapigwa chini.
 
Jifunze kuheshimu wakati wa Mungu unapomfikia mja wake.

Binafsi sina uhusiano wowote na yeyote aliyeteuliwa na wala hakuna hata huo uwezekano wa kuwa siku moja ninaweza kuwa karibu nao,lakini nimeguswa sana tena kwa hisia za furaha kubwa na nimemtukuza Mungu kwa uteuzi wa Hoyce Temu.Sababu ni jinsi alivyogusa maisha ya watu kupitia kipindi chake kwenye Television.Bila shaka aligusa moyo wa Mungu pia.Mungu huyo aliyemwinua,atampa hekima na uwezo wa kufanya kazi yake vizuri.

Najua wapo wengine wanaofanya kazi kama yake ila Mungu atawainua kwa wakati sahihi.Dada wa Nitetee piausikate tamaa nakuombea Mungu akuinue kwa kadri ya Neema zake.
Mavula:

Kwanini uteuzi wa Togolani Mavula na Hoyce Temu umezua mjadala?​

Nimejiuliza why particularly Togolani Mavula anatokea kwenye thread heading, likewise Hoyce Temu kumbe ni hivi: Huyu Togolani Mavila ana historia ya kuwa na ukaribu na Ombeni Sifue aliyekuwa Katibu Mkuu ofisi ya Rais Kikwete ambao wote ni wapare hivyo alimpa ka pendeleo fulani maana had no sifa sitahiki. soma chini

[/HEADING]
[HEADING=3]Ngongo

JF-Expert Member​

Huyu Mavura ni Mpare uteuzi wake umewezekana kwasababu Katibu Mkuu Kiongozi ni Mpare mwenzake ebo au unajifanya hujui ukabila upo kila mahali.
Haki sawa said:
Yuko fit kwa lipi acheni uongo wenu, huyu Alimasi za UDSM bachelor yake ya PS& PA mwaka 2005 , alipata GPA ya 2.3 , huo ndio ufit? ALipewa kazi wizarani kwa kuwa baba yake Mzazi alikuwa BALOZI wa Tanzania , so alone bwana baba , sasa naona Jk kaamua kumbeba naye huyu, hana hata taaluma ya uandishi wa habari.......do I say more? Alivyokuwa Udsm akiishi Mabino hostel .........

SOMA WASIFU WAKE KWENYE THREAD HII Togolani Mavura ateuliwa kuwa msaidizi wa JK - Hotuba

2. Hoyce Temu sijui
 
Back
Top Bottom