Kwanini uteuzi wa Togolani Mavula na Hoyce Temu umezua mjadala?

Ubalozi una Kazi gani ngumu zaidi ya kuuza tu sura nje wacha tu apewe
 

Kwasababu Watanzania ni watu wanaopenda kutengeneza stories bila facts na soko la umbea na uzushi linauza.
 
Mtu akiwa karibu na JK anakuwa hafai?
Wakijifanya kazi under JK wote hawafai?
Jiwe Alipochaguliwa Alikaa Bila Baraza La Mawaziri
Alipowateua Ikawa Sura Zile Zile Akaulizwa Mbona Ni Hawa Tena Akasema Sasa Ulitaka Watoke Mbinguni
😆😅😄😃😂😁😀😅😄😃😂
 
Alipewa lift au walitaka kukiokoa chama.2015 CCM ilikuwa ICU na ingekuwa imeshazikwa na tumesahau kama KANU.
 
wachagga wanamchukia sana makufuli ndio maana hoja yoyote inapowagusa wanazijibu kwa ovyo ovyo tu na ndio wengi mitandaoni jf
 
Ndo wivu wenyewe huo mtu anahoji mpaka GPA ya mtu anataka nini
Viongozi wangapi wana hizo GPA ? Na kila siku wanatuongeza
Kuna sababu nzuri watu wanahoji maana amechukuliwa tok kwa Kiwete, wanauliza kulikoni
 
Kuna sababu nzuri watu wanahoji maana amechukuliwa tok kwa Kiwete, wanauliza kulikoni
Nini cha ajabu wakichukuliwa kutoka kwa Kikwete? Kikwete ni mtanzania nani raisi mtaafu. Hata waziri Mulamula, Simbachawene, mama Samia ni zao la Kikwete.
 
Nini cha ajabu wakichukuliwa kutoka kwa Kikwete? Kikwete ni mtanzania nani raisi mtaafu. Hata waziri Mulamula, Simbachawene, mama Samia ni zao la Kikwete.
Unadhni kwanini ame raise alarm?
 
Daah mtu kasoma mpaka UD hutaki apate kazi mbona wapo viraza kibao tuu na wana kazi nzuri kisa huyo unamjua mara GPA ya mbili aisee bongo visa sana...
 
Nimeandika udadisi wangu kwanini ametokea kwenye "font fedi" ya thread? Nikapata jibu na nikawahabarisha wengine kama wewe... is that wrong?
Wivu tuu kumjua mtu na unaona ana fursa basi unataka kuandika andika ili kumchafua mtu yaani graduate wa chuo hutaki apate kazi? Roho mbaya haikusaidii chochote na haitokuja kukusaidia karma yake inarudi kwako...
 
Wivu tuu kumjua mtu na unaona ana fursa basi unataka kuandika andika ili kumchafua mtu yaani graduate wa chuo hutaki apate kazi? Roho mbaya haikusaidii chochote na haitokuja kukusaidia karma yake inarudi kwako...
sijibizani na darasa la saba kama wewe, bye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…