kwanini umtumie x badala ya s, mtu anaandika xaxa akimaanisha sasa.
s badala ya th, eti nimeasirika badala ya nimeathirika.
jamani tutumie herufi sahihi, mnaboa
Bora wao, kuliko wewe unaejifanya unajua kumbe hujui. Badala ya heruei kubwa mwanzo wa sentesi wewe umeweka ndogo.. Ama kweli nyani hacheki kundule lake.
kwanini umtumie x badala ya s, mtu anaandika xaxa akimaanisha sasa.
s badala ya th, eti nimeasirika badala ya nimeathirika.
jamani tutumie herufi sahihi, mnaboa
Kabisa huwa sijibu ujumbe niliotumiwa kwa kuandikwa kwa mtindo huo wa kijinga kabisa kuwahi kutokea.
Na ukitaka nikudharau Niandikie ujumbe kwa mtindo huo wa 'x' badala ya 's'.
Ova
Bora wao, kuliko wewe unaejifanya unajua kumbe hujui. Badala ya heruei kubwa mwanzo wa sentesi wewe umeweka ndogo.. Ama kweli nyani hacheki kundule lake.
kwanini umtumie x badala ya s, mtu anaandika xaxa akimaanisha sasa.
s badala ya th, eti nimeasirika badala ya nimeathirika.
jamani tutumie herufi sahihi, mnaboa
kwanini umtumie x badala ya s, mtu anaandika xaxa akimaanisha sasa.
s badala ya th, eti nimeasirika badala ya nimeathirika.
jamani tutumie herufi sahihi, mnaboa
Heruei ni kitu gani?
Hizo herufi zao zimenifanya nisimtumie binamu yangu hela ya mahafali,
eti kaandika
"xaxa kaka utanitumia lini hela ya mahafali"?
kwanini umtumie x badala ya s, mtu anaandika xaxa akimaanisha sasa.
s badala ya th, eti nimeasirika badala ya nimeathirika.
jamani tutumie herufi sahihi, mnaboa
kwanini umtumie x badala ya s, mtu anaandika xaxa akimaanisha sasa.
s badala ya th, eti nimeasirika badala ya nimeathirika.
jamani tutumie herufi sahihi, mnaboa
Bora yeye kuliko wewe unaetumia heruei ukimaanisha herufi. Pia unasema 'kundule lake' wakati 'kundule = kundulake.
Hawa watu wanaboa kinoma mkuu, yaan utakuta kuna neno lipo vizur tu lakin wanalivuruga na kutengeneza neno tofaut kabisa ambalo huenda likawa na maana nyingine kabisa, ukiwauliza wengine watakuambia eti swaga! Swaga gani za kishamba hizoo!!