Kwanini utumie x badala ya s?

Walewale...Under 18 kichwani umri over 25.

we ndo chizi kweli yani,kama kweli unafaham lugha kwanini uchanganye lugha? eti "under 18"ndo nn mkuu we mwana kiswahili kumbe wengine mnafuata mkumbo tu!hah hah hah hah dah kweli we mswahili sio mwanakiswahili.
 

we john ebu badilika usikariri mambo nayo yanabadilika we mbona unachanganya kiswahili na kingereza kama kweli unafaham lugha na hapohapo hutaki watu waharibu lugha embu acha kufata mkumbo ambao wenzako wamesema tumia na umiza akili unapotoa maoni,haya tuambie "under 18" na "over 25"zimefata nini kwenye kiswahili!?.mwisho nakukumbusha ndani ya kiswahili kuna misimu,rejesta,utani nk sasa huu ni msimu wa uandishi unaotumia "xaxa"badala ya "sasa"upo!na itaondoka itakuja nyingine.,kama hujaelewa hapa hutaelewa hata ukija kuombewa.
 

mkuu tupe mfano wa lugha ambayo ikitumia herufi x inabeba maana nyingi,na utupe maana zake!
 
Hapa jamvini 2acheni u2ku2 kwa xababu huwezi kumzuia mtu kufanya anachokipenda kama kinakuboa xiukae kimya 2!
 
Bora wao, kuliko wewe unaejifanya unajua kumbe hujui. Badala ya heruei kubwa mwanzo wa sentesi wewe umeweka ndogo.. Ama kweli nyani hacheki kundule lake.

Haiitwi kundule lake bali ----- lake, au kama ni KUNDULE usimalizie na lake...

Bumbum
 
Mifano ni mingi mno ila nikutaadhalishe tu, usipende kutumia kitu usicho elewa maana yake kwa usahihi.. jishughulishe mkuu utafaham mengi.
mkuu tupe mfano wa lugha ambayo ikitumia herufi x inabeba maana nyingi,na utupe maana zake!
 
Bora wao, kuliko wewe unaejifanya unajua kumbe hujui. Badala ya heruei kubwa mwanzo wa sentesi wewe umeweka ndogo.. Ama kweli nyani hacheki kundule lake.

Heruei ndo kitu gan sasa?umeruka mkojo umekanyaga mavi.
 
Wanafanya bajeti ya idadi ya herufu kwenye meseji, mafano akiandika mtu herufi 3 kwahiyo anaandika m2 herufi 2 tu,sinajua vijana wasikuhizi na mabint wao wanapenda vitu rahisi sana
 
hii tabia ya watu kuandika X badala S na Q badala K ..ni ujanja? au ufwala au ndiyo mitaala mipya..mtu akikuandikia hivi unapata picha gani bila hata kumuona.
 
hii tabia ya watu kuandika X badala S na Q badala K ..ni ujanja? au ufwala au ndiyo mitaala mipya..mtu akikuandikia hivi unapata picha gani bila hata kumuona.

Sijibu msg yake,basi.
 
hii tabia ya watu kuandika X badala S na Q badala K ..ni ujanja? au ufwala au ndiyo mitaala mipya..mtu akikuandikia hivi unapata picha gani bila hata kumuona.

Umuulize huyohuyo anayekutumia meseji za aina hiyo,..

Sisi yanatuhusu nini!!
 
hii tabia ya watu kuandika X badala S na Q badala K ..ni ujanja? au ufwala au ndiyo mitaala mipya..mtu akikuandikia hivi unapata picha gani bila hata kumuona.

nime log in kwa ajiri yko ni hv me cwez kuandika kama naandika office letter hapa wa2 2nafupsha ila mnaelewa nyie wenye smat 4n xio xawa na cc wenye cm za button mpaka ufikie 's' unaweza ukapitliza xo m2 anaona ni bora aandike x coz itaeleweka no matter ,,,,,,,,uc2bane bane
 

Aaaagh!!! imetosha naona umeanza kuandika kihebrania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…