swahaba sultan
Senior Member
- Sep 16, 2014
- 119
- 8
Walewale...Under 18 kichwani umri over 25.
Ni wajinga tu wachache kama wewe ndio watatetea huo ujinga mtu anaandka "co" badala ya "so" na "xixi" badala ya "sisi" ni stylistics gani uliyofundishwa wewe? Labda kama ulifundishwa na mwalimu wa voda fasta aliyepata E ya english advance.
Hebu fuatilia comments za wazungu kwenye english wanaweka lugha imenyoka na kama ni kifupisho ni kile ambacho kinakubalika sio hawa washenzi wanaandika si kifupisho wala nini ila ni kuharibu lugha tu
Ugomvi upo kwenye lugha mama ya Kiswahili, mpaka sasa hatuna herufi X.
Kwenye lugha nyingine za nchi za Magharibi na Mashariki ya mbali, herufi hii X imebeba maana pana sana. Huu ni mfano tu, kuna ukiukaji mwingi sana wa kiuandishi katika kiswahili kuchanganya namba na herufi.
Mfano...wa2 wackuhizi wagumu kuckia...n.k wengi hatuvutiwi na uandishi huu wenye sura ya utoto, ulimbukeni au uhuni.
xaxa tufanyeje kwa xababu mimi pia wananiboa xaaana!
Umenena, si suala la kufupisha, na kweli kama ni swaga zinaboa, hasileti maana eti, heri kuandika mfano m2 badala ya mtu, n.k. inaeleweka kuliko hizo x zao.
we ndo hamna kitu kabisa!
Hapa jamvini 2acheni u2ku2 kwa xababu huwezi kumzuia mtu kufanya anachokipenda kama kinakuboa xiukae kimya 2!
Bora wao, kuliko wewe unaejifanya unajua kumbe hujui. Badala ya heruei kubwa mwanzo wa sentesi wewe umeweka ndogo.. Ama kweli nyani hacheki kundule lake.
mkuu tupe mfano wa lugha ambayo ikitumia herufi x inabeba maana nyingi,na utupe maana zake!
Bora wao, kuliko wewe unaejifanya unajua kumbe hujui. Badala ya heruei kubwa mwanzo wa sentesi wewe umeweka ndogo.. Ama kweli nyani hacheki kundule lake.
xaxa tufanyeje kwa xababu mimi pia wananiboa xaaana!
hii tabia ya watu kuandika X badala S na Q badala K ..ni ujanja? au ufwala au ndiyo mitaala mipya..mtu akikuandikia hivi unapata picha gani bila hata kumuona.
hii tabia ya watu kuandika X badala S na Q badala K ..ni ujanja? au ufwala au ndiyo mitaala mipya..mtu akikuandikia hivi unapata picha gani bila hata kumuona.
hii tabia ya watu kuandika X badala S na Q badala K ..ni ujanja? au ufwala au ndiyo mitaala mipya..mtu akikuandikia hivi unapata picha gani bila hata kumuona.
nime log in kwa ajiri yko ni hv me cwez kuandika kama naandika office letter hapa wa2 2nafupsha ila mnaelewa nyie wenye smat 4n xio xawa na cc wenye cm za button mpaka ufikie 's' unaweza ukapitliza xo m2 anaona ni bora aandike x coz itaeleweka no matter ,,,,,,,,uc2bane bane