ndo maana kuna formal and informal language inategemea na social context nitumie lugha ipi kapate somo la stylistic wewe....mnataka hadi jf tufwate kanuni ka naandika barua kwa boss haaaa mtatuua nyie xaxa!
Ni wajinga tu wachache kama wewe ndio watatetea huo ujinga mtu anaandka "co" badala ya "so" na "xixi" badala ya "sisi" ni stylistics gani uliyofundishwa wewe? Labda kama ulifundishwa na mwalimu wa voda fasta aliyepata E ya english advance.
Hebu fuatilia comments za wazungu kwenye english wanaweka lugha imenyoka na kama ni kifupisho ni kile ambacho kinakubalika sio hawa washenzi wanaandika si kifupisho wala nini ila ni kuharibu lugha tu