Baadhi ya vyuo vimeshapata wakufunzi, na hatimaye wanarudia tena kutangaza upya kwenye zile nafasi ambazo hawakupata watu.Naona wameweka Tangazo la kazi la NIT.. nafasi zinatangazwa upya.. Ila Leo wadau tusichoke kufikia jioni mpaka usiku kitaeleweka tu maana washaanza kustua mitambo Mchana huu
MmhNaona wameweka Tangazo la kazi la NIT.. nafasi zinatangazwa upya.. Ila Leo wadau tusichoke kufikia jioni mpaka usiku kitaeleweka tu maana washaanza kustua mitambo Mchana huu
Mkuu kazi ushapata kilichobaki ni hizo process tu.Poa poa mkuuu ukiwa jobless unafanya vitu vingi vitu vikianza kutiki unaanza kuchanganyikiwa mfano baada ya kuona sipati kazi nikasema nirudi chuo mwaka huu Sasa hapa pia sielewi kama watakua hawajaniita sijui nikalipoti tu chuo mpka siku wakinitaa sijui nikaushe tu hahhahaa dah USHAURI HAPA
Hivi TA ni lazima aanze masomo ya Master pindi anapoajiriwa?Sijui kwanini wanachelewesha hizi ajira za vyuoni aisee ?
Maana kuna watumishi wengine inabidi waanze masomo mara tu baada ya kuajiriwa (Tutorial assistants). Sasa ukiwapeleka kazini muda ambao mwaka wa masomo umeshaanza (dirisha la maombi ya masters limeshafungwa) unakua umewabana watu wa namna hii.
Mfano TA wa UDSM anataka akasome Masters SUA au UDOM, then hadi dirisha la udahili kwa level ya Masters katika hivyo vyuo linafungwa, huyu TA wa UDSM bado hajapatikana (hata interview tu bado, ukiachilia mbali placement). Kwenye hili suala la ajira kuna kukurukakara nyingi sana.
Hii aione Mwifwa pia.
Hahahahaaa.Leo Kuna muda website ya utumishi ilikua nzito kufunguka nikajua huenda kuna kitu kinono kinapakiwa humo,ila sasa imekaa poa tu na hakuna lolote lililopakiwa.
Ndani ya mkando room[emoji3][emoji3]
Hivi TA ni lazima aanze masomo ya Master pindi anapoajiriwa?
Mimi huwa najua ataanza kusoma muda wowote akitaka pindi akiwa kashaanza kazi.
Mfano, kuna Mwl wangu yeye aliajiriwa uTA mwaka 2014, then mwaka 2015 ndio alianza kusoma Master huku akiendelea na majukumu ya kufundisha kama kawaida.
Labda kwa upande mwingine hii inaweza ikawa inatokana na taratibu za Chuo kama ulivyotolea mfano UDSM.
ππππHizi afadhali lakini oral unajiona unakufa hivi hiviNdani ya mkando room[emoji3][emoji3]
nafasi zinatangazwa upya..
Duu, kwamba walikanda watu hadi wakakosa wenye sifa..Baadhi ya vyuo vimeshapata wakufunzi, na hatimaye wanarudia tena kutangaza upya kwenye zile nafasi ambazo hawakupata watu.
Wakati huo huo, vyuo vingine bado hata hawajaita interview ya mara ya kwanza, na wakati huo tarehe za kufungua vyuo zimekaribia.
Hii nchi unaweza ukaletewa MBOLEA wakati wewe ndio UNAVUNA.
View attachment 2378810View attachment 2378810
@Mwanamaji jibu hili hapaTA sio lazima uanze kusoma ukishaajiliwa inakuaga wanakupa muda kama miaka mitatu hivi lazima uwe umeanza kujiendeleza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi afadhali lakini oral unajiona unakufa hivi hivi
ππππKuna interview yangu moja nilipigwa maswali nikaona hawa wanataka kuniua hawa kila nikiruka wapo na mimi hahhhh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ππππKwamba majobless wote walidandia mtumbwi wa vibwengo hahhhhDuu, kwamba walikanda watu hadi wakakosa wenye sifa..
Haya wasaka mrija ingieni ulingoni tena.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba majobless wote walidandia mtumbwi wa vibwengo hahhhh
Ipo siku milango itafunguka tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jobless tunapata tabu sana
TA alikua anafundisha level gani ? Diploma ?Hivi TA ni lazima aanze masomo ya Master pindi anapoajiriwa?
Mimi huwa najua ataanza kusoma muda wowote akitaka pindi akiwa kashaanza kazi.
Mfano, kuna Mwl wangu yeye aliajiriwa uTA mwaka 2014, then mwaka 2015 ndio alianza kusoma Master huku akiendelea na majukumu ya kufundisha kama kawaida.
Labda kwa upande mwingine hii inaweza ikawa inatokana na taratibu za Chuo kama ulivyotolea mfano UDSM.
Kwa sheria za vyuo vikuu TA ni ajira mafunzoni, unatakiwa ukasome masters mapema iwezekanavyo maana hakuna kazi unaweza kufanya pale chuoni (as a teaching staff) kwa hizo qualifications za bachelor. (Wewe nk "mtoto mdogo" in TID's voice).Hivi TA ni lazima aanze masomo ya Master pindi anapoajiriwa?
Mimi huwa najua ataanza kusoma muda wowote akitaka pindi akiwa kashaanza kazi.
Mfano, kuna Mwl wangu yeye aliajiriwa uTA mwaka 2014, then mwaka 2015 ndio alianza kusoma Master huku akiendelea na majukumu ya kufundisha kama kawaida.
Labda kwa upande mwingine hii inaweza ikawa inatokana na taratibu za Chuo kama ulivyotolea mfano UDSM.
Na wanaofundisha diploma kwenye vyuo vya kati wanaitwa TUTOR mfano veta, ADEM, vyuo vya Ualimu vitoavyo diploma n.k ila vyuo vikuu ndio uitwa TUTORIAL ASSISTANT japo wote sifa ni degree japo chuo kikuu wanaangalia na GPA wanataka ya 3.8 +Kwa sheria za vyuo vikuu TA ni ajira mafunzoni, unatakiwa ukasome masters mapema iwezekanavyo maana hakuna kazi unaweza kufanya pale chuoni (as a teaching staff) kwa hizo qualifications za bachelor. (Wewe nk "mtoto mdogo" in TID's voice).
Special case ni pale ambapo chuo kinakua kinatoa kozi za diploma. Ukiwa na bachelor unaruhusiwa kufundisha diploma.