Sijasoma UDSM hivyo sina ufahamu huko inakuaje ila vyuo vingi TAs wanafundisha undergraduates. Plus UDSM ndio chuo kikubwa hapa Tanzania wana academic staff's wa kutosha hiyo inaweza isijitokeze.You will never see something like that at the University of Dar es Salaam.
Kama unao ushahidi wowote, idara yoyote, somo lolote (kutoka UDSM), karibu.
Kanzi data ipo lakini usiitegemee sana mkuuWakuu kwema?? Kwa bahati mbaya nimekandwa DUCE post ilikua ya mtu mmoja ivi kuhusu kanzidata kuna ukwel wowote maana naona kama sielewi vile mwenye kujua naomba muongozo wakuu
Mara nyingi TA huwa anakuja kwenye seminars tu sio kuja kufundisha kwa university ila kwa colleges TA anafundisha kabisaYou will never see something like that at the University of Dar es Salaam.
Kama unao ushahidi wowote, idara yoyote, somo lolote (kutoka UDSM), karibu.
Nadhani tunatofautiana tafsiri ya "kufundisha" kwa muktadha wa chuo kikuu, na mgawanyo wa majukumu baina ya ngazi mbalimbali za wahadhiri.Sasa tatizo lako liko wapi hapo? Maana saidia fundi huyo anaingilia darasani kufundisha na ndicho alichokwambia jamaa ata niliposoma TA alikua anaingia kwenye zile tutorials akiwa peke yake na wakati mwingine anaingia na lecturer yeye anakaa pembeni akitoa usaidizi wa hapa na pale, so kiufupi naye anafundisha hao hao wanafunzi wa bachelor na ndo maaana kila siku wanaajiriwa,ingekuwa hakuna anachokifanya sidhani kama kungekuwa na uhitaji wao
Kwa hizi kazi za TA ngumu sana kupat kz kupitia kanz data mana nafsi zenyewe zinatoka kwa msimu sana so utasubri sana...unless otherwise...pambana na kz nyingne mzeeKanzi data ipo lakini usiitegemee sana mkuu
😂😂😂😂Kwa TA hapo anasubiri ndege bandariniKwa hizi kazi za TA ngumu sana kupat kz kupitia kanz data mana nafsi zenyewe zinatoka kwa msimu sana so utasubri sana...unless otherwise...pambana na kz nyingne mzee
Jamaa hapo juu wanasema TA (mwenye degree moja) anaruhusiwa kufundisha wanafunzi wa bachelor.Mara nyingi TA huwa anakuja kwenye seminars tu sio kuja kufundisha kwa university ila kwa colleges TA anafundisha kabisa
Nafikiri tu walikua wanachqnganya kitu kwenye seminars na solving za tutorials na kufundishaJamaa hapo juu wanasema TA (mwenye degree moja) anaruhusiwa kufundisha wanafunzi wa bachelor.
Hii kwangu imekua ngeni kidogo, ndio maana naonekana kama nawabishia "wataalam " hapa
Ndio nilipiga oral tuliingia wanne oral akahitajika mmojaUlipita oral?
Majibu yametoka??Ndio nilipiga oral tuliingia wanne oral akahitajika mmoja
Bas relax wakiwa wanauhitaji utapigiwa simuNdio nilipiga oral tuliingia wanne oral akahitajika mmoja
Fanya mambo mengine tuuNdio nilipiga oral tuliingia wanne oral akahitajika mmoja
Yametoka nimekandwa mkuuMajibu yametoka??
Pole mkuu wamechukua aliyeongoza kwenye written au??Yametoka nimekandwa mkuu
Ndio hapo juu nimekueleza kwamba, inawezekana wanafanya hivyo kutokana na upungufu wa watumishi.Sijasoma UDSM hivyo sina ufahamu huko inakuaje ila vyuo vingi TAs wanafundisha undergraduates. Plus UDSM ndio chuo kikubwa hapa Tanzania wana academic staff's wa kutosha hiyo inaweza isijitokeze.
Ila kwa vyuo vingi hapa Bongo wanafundisha at the same time wanajiendeleza.
Mkuu naomba muongozo wako ukiachana na chuo ulichopiga usaili unaweza itwa chuo kingine lkn kada ikawa mojaBas relax wakiwa wanauhitaji utapigiwa simu
Written niliongoza mm tena kwa gap kubwa La marks tu ila nimekandwa huenda oral labda sikufanya vzrPole mkuu wamechukua aliyeongoza kwenye written au??
Inategemea na uhitaji waoMkuu naomba muongozo wako ukiachana na chuo ulichopiga usaili unaweza itwa chuo kingine lkn kada ikawa moja
basi haikuwa bahati yako mkuu tusubiri zingineWritten niliongoza mm tena kwa gap kubwa La marks tu ila nimekandwa huenda oral labda sikufanya vzr