Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

You will never see something like that at the University of Dar es Salaam.

Kama unao ushahidi wowote, idara yoyote, somo lolote (kutoka UDSM), karibu.
Sijasoma UDSM hivyo sina ufahamu huko inakuaje ila vyuo vingi TAs wanafundisha undergraduates. Plus UDSM ndio chuo kikubwa hapa Tanzania wana academic staff's wa kutosha hiyo inaweza isijitokeze.


Ila kwa vyuo vingi hapa Bongo wanafundisha at the same time wanajiendeleza.
 
You will never see something like that at the University of Dar es Salaam.

Kama unao ushahidi wowote, idara yoyote, somo lolote (kutoka UDSM), karibu.
Mara nyingi TA huwa anakuja kwenye seminars tu sio kuja kufundisha kwa university ila kwa colleges TA anafundisha kabisa
 
Sasa tatizo lako liko wapi hapo? Maana saidia fundi huyo anaingilia darasani kufundisha na ndicho alichokwambia jamaa ata niliposoma TA alikua anaingia kwenye zile tutorials akiwa peke yake na wakati mwingine anaingia na lecturer yeye anakaa pembeni akitoa usaidizi wa hapa na pale, so kiufupi naye anafundisha hao hao wanafunzi wa bachelor na ndo maaana kila siku wanaajiriwa,ingekuwa hakuna anachokifanya sidhani kama kungekuwa na uhitaji wao
Nadhani tunatofautiana tafsiri ya "kufundisha" kwa muktadha wa chuo kikuu, na mgawanyo wa majukumu baina ya ngazi mbalimbali za wahadhiri.

Kama kuongoza tutorials, seminars, kuelekeza practicals, kusimamia field excursions, kusaidia kufunga "projekta" nako ni kufundisha, mimi naishia hapa na kuungana na ninyi kwamba TA nayeye anafundisha wanafunzi wanaosoma bachelor.

Na kwa namna hiyo hata wale technical staffs (laboratory technicians, et al, na wao Wanafundisha). Tena hawa wengine wana diploma tu.

Kwa viwango, utaratibu na miongozo, kufundisha (kwa teaching staffs) ni lecturing and examining students.
 
Kwa hizi kazi za TA ngumu sana kupat kz kupitia kanz data mana nafsi zenyewe zinatoka kwa msimu sana so utasubri sana...unless otherwise...pambana na kz nyingne mzee
😂😂😂😂Kwa TA hapo anasubiri ndege bandarini
 
Mara nyingi TA huwa anakuja kwenye seminars tu sio kuja kufundisha kwa university ila kwa colleges TA anafundisha kabisa
Jamaa hapo juu wanasema TA (mwenye degree moja) anaruhusiwa kufundisha wanafunzi wa bachelor.

Hii kwangu imekua ngeni kidogo, ndio maana naonekana kama nawabishia "wataalam " hapa
 
Sijasoma UDSM hivyo sina ufahamu huko inakuaje ila vyuo vingi TAs wanafundisha undergraduates. Plus UDSM ndio chuo kikubwa hapa Tanzania wana academic staff's wa kutosha hiyo inaweza isijitokeze.


Ila kwa vyuo vingi hapa Bongo wanafundisha at the same time wanajiendeleza.
Ndio hapo juu nimekueleza kwamba, inawezekana wanafanya hivyo kutokana na upungufu wa watumishi.

Fahamu kwamba TCU ndio wanaweka standards za mwenye qualifications zipi, afanye nini.
Sio suala la chuo tu kujiamulia kwamba mwenye degree moja amfundishe mwenye mwenye masters, au mwenye digrii moja amfundishe anayesoma digrii ya kwanza.

TCU wanapofanya assessment ya vyuo, na kufanya rankings, wanaangalia pia compliance kwenye watumishi, vigezo na majukumu.

Hakuna muongozo wowote, be it kwa vyuo vikuu, au kwa vyuo vya kati, unaoruhusu mtu mwenye digrii moja kufundisha wanafunzi wa digrii ya kwanza. Iwe ni TCU au NACTVET (zamani NACTE).

Wanafanya hivyo pengine kulingana na uhaba wa watumishi, lakini as per taratibu, hairushusiwi.
Ukitaka nitume documents ku sapoti maandiko kutoka TCU, Miongozo ya vyuo, NACTVET, mamlaka za ajira (PSRS), I can do that all day.
 
Back
Top Bottom