[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina experience nao anakuacha afu anakwambia promise me you will be okay shabashiiiih[emoji16][emoji16]
Vp umeshapigiwa na simu niniVetting
ngoja aje atuambieVp umeshapigiwa na simu nini
😂😂😂😂Nasikia wamepigwa hukoWazee wa kalyanda tupe mrejesho
Utumishi bado wanahangover ya matokeo ya Yanga huko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wazee wa kalyanda tupe mrejesho
Chonde chonde jobless msije mkatutia aibu ya kuchoma nauli za kwenda kukandwaWazee wa kalyanda tupe mrejesho
😂😂😂😂😂Nauli za kuendea udom zimeliwaChonde chonde jobless msije mkatutia aibu ya kuchoma nauli za kwenda kukandwa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nauli za kuendea udom zimeliwa
Wameweka nafasi za cereals board.Jumatatu tulivu pande hizi inaendelea kuyeyuka kimya kimya.
Jobless subira haina mwisho
Subira yavuta heriJumatatu tulivu pande hizi inaendelea kuyeyuka kimya kimya.
Jobless subira haina mwisho
Mbona mm sijazionaWameweka nafasi za cereals board.
Mbona sijaziona mkuu??Wameweka nafasi za cereals board.
Labda kavuluga tu madesaMbona mm sijaziona
Tuma pdf kama ulifanikiwa kudownloadMbona sijaziona mkuu??
Ingia kwenye account mzee babaTuma pdf kama ulifanikiwa kudownload
Wameshortilst?Ingia kwenye account mzee baba