Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui yupo wapi naona leo yupo kimya sanaNdugu yetu Mwifwa Mungu amsimamie
Mkuu napataje mawasiliano yao maana yaliyopo pale namba zote hazipatikani nisaidien maana wanasema marefa watatu sijawaweka wakati wapo toka muda na kuna interview nimefanya na nasubir placementWatafute mzee kuna jamaa yangu aliwacheki wakamuita majina ya nyongeza
NAOT nafasi 37 za auditing iiJiandae tu mkuu nafasi sizilikua nyingi?unaweza kuwakanda pia
Hizo uhakika mzee ushapata kazi mpaka hapo kapambane upige written vizuri tuNAOT nafasi 37 za auditing ii
Heslb nafasi 48 loan officer
Ngoja tukakandane tu huko mkuuHizo uhakika mzee ushapata kazi mpaka hapo kapambane upige written vizuri tu
Mpaka kieleweke au sio?Ngoja tukakandane tu huko mkuu
Dah..nauli hizo za kuwazungusha hivyo wanawapa au?Yaani ratiba yetu ICT security tunafanya written Dodoma alafu prac Dar tunamalizia oral Dodoma
Information system auditor tunafanya written Dodoma alafu prac na oral tunamalizia Dar 😂
😂😂😂😂Hahhhhh nimecheka kama mazuri vile hahhh pole mkuuYaani ratiba yetu ICT security tunafanya written Dodoma alafu prac Dar tunamalizia oral Dodoma
Information system auditor tunafanya written Dodoma alafu prac na oral tunamalizia Dar 😂
Mkuu mwenyewe nilishawahi kupata kitu kama yako na nikaitwa kabisa kwa interview Moja ila nyingine nikatemwa the thing ni kwamba hakikisha umeweka marefaree watatu kwenye account yako na pia hakikisha umeweka marefaree watatu kwenye Ile CV yako uliyoiupload kwenye other attachments nadhani kwenye hizo sehemu mbili huenda moja(kama sio zote) ikawa na tatizo, Anzia hapo kwanza kabla ya kuwatafuta wao.Mkuu napataje mawasiliano yao maana yaliyopo pale namba zote hazipatikani nisaidien maana wanasema marefa watatu sijawaweka wakati wapo toka muda na kuna interview nimefanya na nasubir placement
Nisaidien wakuu wanijumuishe ili nikawakande vizuri.
Ict wametunyoosha kaka writen dom prac na oral dsmMpaka kieleweke au sio?
Dah..nauli hizo za kuwazungusha hivyo wanawapa au?
Aisee poleni sanaIct wametunyoosha kaka writen dom prac na oral dsm
Dah kupata kazi ni kazi sanaAisee poleni sana
Imagine utoboe written uende dsm prac ukandweAisee poleni sana
Duuh hatariImagine utoboe written uende dsm prac ukandwe
Vip nikiwacheki wanaweza weka sawa? sure other attachment niliweka referee wa 2 badala ya wa3 vip nikiwachek wata ni addMkuu mwenyewe nilishawahi kupata kitu kama yako na nikaitwa kabisa kwa interview Moja ila nyingine nikatemwa the thing ni kwamba hakikisha umeweka marefaree watatu kwenye account yako na pia hakikisha umeweka marefaree watatu kwenye Ile CV yako uliyoiupload kwenye other attachments nadhani kwenye hizo sehemu mbili huenda moja(kama sio zote) ikawa na tatizo, Anzia hapo kwanza kabla ya kuwatafuta wao.
Hahaha labda kwenu kuwe Dar unatokomea mtaani unapiga kimya shida kama kwenu Mbeya yaani 😂 😂Imagine utoboe written uende dsm prac ukandwe