Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Behavioural science (walitaka tuliosomea psychology)Ilikuwa Post gani?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sanaNamimi naanda barua ya kuacha kazi hapa napojishikiza Kwa Sasa, nikipata tu iyo placement naprint nampa boss🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂Hahhhhh uhakika apo tunafika utumishi saa kumi za usikuNamimi naanda barua ya kuacha kazi hapa napojishikiza Kwa Sasa, nikipata tu iyo placement naprint nampa boss🤣🤣🤣
Tuombe zilizobaki zije fresh tu hapa ujobless mbaya sanaBehavioural science (walitaka tuliosomea psychology)
Mi kwakweli sitapata usingizi🤣.haya mambo haya🤣🤣🤣🤣 ambaye anavuta mrija wa asali hawezi kuelewa kabisa😂😂😂😂😂Hahhhhh uhakika apo tunafika utumishi saa kumi za usiku
Kaka inauma unafanya kazi wee unakuja kulipwa 170k per month🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sana
Inauma sana,na jeuri ya kuacha hunaKaka inauma unafanya kazi wee unakuja kulipwa 170k per month
😂😂😂😂Uhakika aseeh asaivi lazima nipateUtapata kaka wakati ni wako huu
Amiiina Kaka na iwe hivyoTuombe zilizobaki zije fresh tu hapa ujobless mbaya sana
😂😂😂😂Afu unakuta wanakulipa hivyo na maneno juu acha kabisaKaka inauma unafanya kazi wee unakuja kulipwa 170k per month
Ni vile huwezi kufanya barua kabla hawajaachia pdf🤣🤣🤣😂😂😂😂Uhakika aseeh asaivi lazima nipate
Acha tu yaani kitaa kugumu😂😂😂😂Afu unakuta wanakulipa hivyo na maneno juu acha kabisa
Hahaha yaani tumevurugwaNi vile huwezi kufanya barua kabla hawajaachia pdf🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂ningekuwa IT ningeweka pdf langu pale kwenye portal hahhhhNi vile huwezi kufanya barua kabla hawajaachia pdf🤣🤣🤣
😂😂😂😂Maboss wa private wanatuvuluga sana aseehHahaha yaani tumevurugwa
Me kwakweli nishachoka sana😂😂😂😂Maboss wa private wanatuvuluga sana aseeh
Tutapata tu tuwe na imaniMe kwakweli nishachoka sana
Ameen ,wote kwenye Uzi huu tunasubiri matokeo yatakua mazuriTutapata tu tuwe na imani
Na ukiwa umeshachoka pdf unaona linachelewa sanaMe kwakweli nishachoka sana
Mara paap nipo, alooNa ukiwa umeshachoka pdf unaona linachelewa sana