😂😂😂😂😂Hahhhh unataka wakuwekee na ka AC fulani hivi?Hatukuwekewa kiyoyozi kwenye mkando, nimekuja kukipata huku kwenye gari.
PSRS sio ndugu zetuView attachment 2399523
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂Hahhhh unataka wakuwekee na ka AC fulani hivi?Hatukuwekewa kiyoyozi kwenye mkando, nimekuja kukipata huku kwenye gari.
PSRS sio ndugu zetuView attachment 2399523
Hahahahha, nishakabdwa mkuu ingawa nimejibu maswali yote
Kwakweli, nilifanya oral IAE na MUCE pia huko nasubiria placement. Huenda ikatiki moja hapoHaikuwa nafasi yako mkuu tujipange na zingine
Jiandae na oral mkuu hii tumewakanda naaminiWameleta maswali 2 kuhusu Auditing ikibase kwenye kada yangu.
Maswali mengine 2 yapo kwenye practice ya kada yangu pia, kati ya haya 2, moja lilikuja kwenye written yangu ya kwanza. Ila kilichonigharimu ni kile tunachosemaga PSRS hawarudii maswali, hilo swali sikulifanyia revision ila naweza kuokoteza hata chache
Tuombe Mungu abless tuKwakweli, nilifanya oral IAE na MUCE pia huko nasubiria placement. Huenda ikatiki moja hapo
Hakika wa kuombwa ni yeyeTuombe Mungu abless tu
Haikuwa bahati yako mkuu.Nishakandwa hapa nasubiri MUCE na IAE
Utaenda oral,majibu wanatoa lini?Wameleta maswali 2 kuhusu Auditing ikibase kwenye kada yangu.
Maswali mengine 2 yapo kwenye practice ya kada yangu pia, kati ya haya 2, moja lilikuja kwenye written yangu ya kwanza. Ila kilichonigharimu ni kile tunachosemaga PSRS hawarudii maswali, hilo swali sikulifanyia revision ila naweza kuokoteza hata chache
Mungu ajaalie kaka next step tuwepoHahahahha, nishakabdwa mkuu ingawa nimejibu maswali yote
Naamini hapo mojawapo unatoboa kakaKwakweli, nilifanya oral IAE na MUCE pia huko nasubiria placement. Huenda ikatiki moja hapo
Ushaikimbia Dodoma tayari mkuu?Hatukuwekewa kiyoyozi kwenye mkando, nimekuja kukipata huku kwenye gari.
PSRS sio ndugu zetuView attachment 2399523
Sina ujasiri wa kusema nimewakanda mkuu, ila maswali yote nimeyapapasa tofauti na written zilizopita[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tupe habari umekandwa na ngumi ya ndoige au umewakanda?
Hahahahaa, kama panya anavyong'ata na kupuliza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh unataka wakuwekee na ka AC fulani hivi?
Amiin amiin ila wanachelewa sana, yaani ya MUHAS tumefanya mwezi huu lakin placement tayari. MUCE na IAE tangu September lakin hadi leo holaaNaamini hapo mojawapo unatoboa kaka
Yani written ukiona umejibu yote hapo oral uhakika mzee tuombe tu cut point isilete magumashiSina ujasiri wa kusema nimewakanda mkuu, ila maswali yote nimeyapapasa tofauti na written zilizopita
Tusubiri chochote kitakachotokea kwenye matokeo mkuuJiandae na oral mkuu hii tumewakanda naamini
Labda za MUCE zilisimamiwa na utumishi full ndo maana zimechelewa lakini naamini week hii mikeka itakuwa waziAmiin amiin ila wanachelewa sana, yaani ya MUHAS tumefanya mwezi huu lakin placement tayari. MUCE na IAE tangu September lakin hadi leo holaa
😂😂😂😂Yani wakukande afu wamekuweka kwenye ka AC hahhhhHahahahaa, kama panya anavyong'ata na kupuliza
Hongera kwake, amepambanaHaikuwa bahati yako mkuu.
Kuna jamaa yangu hapo kapata, nafasi ameipambania tangu 2020
Tarehe 2.Utaenda oral,majibu wanatoa lini?