Genuine raf
JF-Expert Member
- Jun 17, 2022
- 673
- 1,804
Na ukiwa umeshachoka pdf unaona linachelewa sana
Na ni Bora wangekua wanasema maximum time,kama adem badala ya kusema baada ya mwezi 1 wangesema hata miwili,iae badala ya kusema 3 weeks wangesema hata mwezi na nusu ingepunguza tension angalauMe kwakweli nishachoka sana
Unachanganyikiwa kwanza alafu ndio unakaa sawa🤣🤣Mara paap nipo, aloo
😂😂😂😂😂Unakuwa unatamani wewe ndo ungekuwa utumishiNa ukiwa umeshachoka pdf unaona linachelewa sana
Hatari sana kaka😂😂😂😂😂Unakuwa unatamani wewe ndo ungekuwa utumishi
Unaweza kutembea miles 50 Kwa furahaUnachanganyikiwa kwanza alafu ndio unakaa sawa🤣🤣
😂😂😂😂Tujiandae kufurahi week hii apa napiga hesabu za mshahara wangu wakwanza sijui fungu la kumi linakuwa laki ngapi nipeleke churchUnaweza kutembea miles 50 Kwa furaha
Me nishapiga hesabu saving naweka kiasi Gani😄😂😂😂😂Tujiandae kufurahi week hii apa napiga hesabu za mshahara wangu wakwanza sijui fungu la kumi linakuwa laki ngapi nipeleke church
😂😂😂😂😂Hahhhh hapo ushapiga hesabu jinsi yakununua gari na kujenga nyumbaMe nishapiga hesabu saving naweka kiasi Gani😄
Daah noma sana kaka😂😂😂😂😂Hahhhh hapo ushapiga hesabu jinsi yakununua gari na kujenga nyumba
Muce kuna mdau wangu kapigiwa cmKwakweli, nilifanya oral IAE na MUCE pia huko nasubiria placement. Huenda ikatiki moja hapo
Aliomba post gan mkuu?Muce kuna mdau wangu kapigiwa cm
Aisee,lini kapigiwa kakaMuce kuna mdau wangu kapigiwa cm
Usiwaze hata wenzako pia waliona mtihani ni mgumuNishakandwa tayari maswali mawili ni contract ya first year imagine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
😂😂😂😂Hahhhhh ukute wewe ndo umejitahidi mkuuNishakandwa tayari maswali mawili ni contract ya first year imagine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
You never know but amini penye ugumu ndio inapatikaga njia.Nishakandwa tayari maswali mawili ni contract ya first year imagine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Unaweza kuta unamshukuru sir God mpka sir god anashangaa huko alikoUnaweza kutembea miles 50 Kwa furaha
Sawa mkuu kila la kheri hapo keshoPoa mkuu,sie mjini tutaingia jmos huko
Halafu jamaa alikuwa anasubiri placement ya ORCI bahati nzuri ya MUHAS aliyofanya juzi ikatikiAisee,hongera zake si mchezo kauona mrija wa asali na maziwa[emoji1787]