Ndio.tarehe 7?????mwezi ujao au?
Bora walivyofanya hivyoNdio.
Hapa watakaoenda oral ndio watatoboka, sio kama kusubirishana siku 3 ili matokeo yatoke halafu ukaja kuona umekandwa unakuwa umepoteza pesa bure kukaa Dom.
Kuna watu wanabahati sana aseehHalafu jamaa alikuwa anasubiri placement ya ORCI bahati nzuri ya MUHAS aliyofanya juzi ikatiki
Anwani utajiandikia mwenyewe, mimi nakusaidia hapa.Namimi naandaa barua ya kuacha kazi hapa napojishikiza Kwa Sasa, nikipata tu iyo placement naprint nampa boss[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂Hizi threads zinatupaga faraja sana unakuja kupiga story kidogo na jobless wenzioHuu uzi ni mzuri sana kwa sis majobless yan ukija huku fulu kupata faraja yan unakuta huyu anaandaa suti ya kwenda Dom ,mwingine anaandaa pesa ya kulala pale Morena na yule mwngine anapanga saving za kila mwezi na mwngine tena anapanga fungu la 10 yan ni furaha sana but ngoja tusubiri placements
😂😂😂😂Mwishoni unamaliziaAnwani utajiandikia mwenyewe, mimi nakusaidia hapa.
REF: RESIGNATION
Bye bye
____________
Mlamba Asali
Uje upeleke Fili Frii Chachi[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tujiandae kufurahi week hii apa napiga hesabu za mshahara wangu wakwanza sijui fungu la kumi linakuwa laki ngapi nipeleke church
😂😂😂😂Napeleka kwa mwamposa mzeeUje upeleke Fili Frii Chachi[emoji3]
Hahahahaa, pole sana.Nishakandwa tayari maswali mawili ni contract ya first year imagine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Hahahahaa..Nishakandwa tayari maswali mawili ni contract ya first year imagine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Hizi faraja ni nzuri sana.Huu uzi ni mzuri sana kwa sis majobless yan ukija huku fulu kupata faraja yan unakuta huyu anaandaa suti ya kwenda Dom ,mwingine anaandaa pesa ya kulala pale Morena na yule mwngine anapanga saving za kila mwezi na mwngine tena anapanga fungu la 10 yan ni furaha sana but ngoja tusubiri placements
😂😂😂😂Yani hii unakufa unajionaHahahahaa..
Niliwahi kuletewa swali la first year, nililitoa out
Nadhani kesho au kesho kutwa weekend ndo wanafanyaga maajabuUtumishi waweke kamkeka kamoja kaplacement kakulalia
Amina Amina, I believe in God[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhhh ukute wewe ndo umejitahidi mkuu
Hakika mkuu, amenYou never know but amini penye ugumu ndio inapatikaga njia.
Yaan kama mimi nmekumbuka kwa mbaaaaliii, Mungu anisaidieHahahahaa, pole sana.
Written yangu ya 2 nilikalishwa na swali la First, yaani muda nilikuwa nausikilizia jinsi unavyoisha huku nikiwa sina lolote la kujibu lile swali
Nakuombea tu upite kiongozi tuishi humo God atablessAmina Amina, I believe in God
Yani mm huwa si comment but nafarijika sanaaHuu uzi ni mzuri sana kwa sis majobless yan ukija huku fulu kupata faraja yan unakuta huyu anaandaa suti ya kwenda Dom ,mwingine anaandaa pesa ya kulala pale Morena na yule mwngine anapanga saving za kila mwezi na mwngine tena anapanga fungu la 10 yan ni furaha sana but ngoja tusubiri placements