Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Huu uzi ni mzuri sana kwa sis majobless yan ukija huku fulu kupata faraja yan unakuta huyu anaandaa suti ya kwenda Dom ,mwingine anaandaa pesa ya kulala pale Morena na yule mwngine anapanga saving za kila mwezi na mwngine tena anapanga fungu la 10 yan ni furaha sana but ngoja tusubiri placements
😂😂😂😂Hizi threads zinatupaga faraja sana unakuja kupiga story kidogo na jobless wenzio
 
Nishakandwa tayari maswali mawili ni contract ya first year imagine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Hahahahaa, pole sana.

Written yangu ya 2 nilikalishwa na swali la First, yaani muda nilikuwa nausikilizia jinsi unavyoisha huku nikiwa sina lolote la kujibu lile swali
 
Huu uzi ni mzuri sana kwa sis majobless yan ukija huku fulu kupata faraja yan unakuta huyu anaandaa suti ya kwenda Dom ,mwingine anaandaa pesa ya kulala pale Morena na yule mwngine anapanga saving za kila mwezi na mwngine tena anapanga fungu la 10 yan ni furaha sana but ngoja tusubiri placements
Hizi faraja ni nzuri sana.

Zinaifuatia ile sauti ya ATM kwa ubora[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huu uzi ni mzuri sana kwa sis majobless yan ukija huku fulu kupata faraja yan unakuta huyu anaandaa suti ya kwenda Dom ,mwingine anaandaa pesa ya kulala pale Morena na yule mwngine anapanga saving za kila mwezi na mwngine tena anapanga fungu la 10 yan ni furaha sana but ngoja tusubiri placements
Yani mm huwa si comment but nafarijika sanaa
Asee wote tutaaga ujobless humu Amin🙏
 
Back
Top Bottom