Kote kuna changamoto ingawa haziwezi kufanana.aisee bora niwe mfanya biashara kuliko kuchezea hela kwenda kwenye enterview
Baada ya hizi written za leo mnahisi ni Taasisi gani zitafuata tena kuita watu Dom..?Kama una kijiwe kinachoeleweka haina haja ya kusumbuka na PSRS kabisa aisee
Lazima uwe nayo mzeeOhy wadau.. hv huko Dom wanakagua na transcripts za chuo,, ni lazima kwenda nazo..?
Ratiba ilivyo kipindi hiki imetupa nafasi ya kurudi nyumbani kwanzaBora umejirudia zako
Mpka na ya form IV..? maana Ile ya iv iliandikwa itakuwa invalid baada ya miezi kadhaaLazima uwe nayo mzee
Form 4 na 6 ni cheti tu,chuo transcript lazimaMpka na ya form IV..? maana Ile ya iv iliandikwa itakuwa invalid baada ya miezi kadhaa
Form four na advance wanataka vyeti original tu zile result slip hapanaMpka na ya form IV..? maana Ile ya iv iliandikwa itakuwa invalid baada ya miezi kadhaa
Mimi si nikaanza kuusoma uzi kuanzia mwanzo ili nione chimbuko lake, PSRS walisemwa sana huko mwanzo.Basi mkuuu kwenye huu Uzi nisha comment vitu vingi duh mpaka hiii dah ndo naikumbuka Kuwa nishawahi kuja hapa kulia na hawa jamaaa WATOE placement [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Form 4 na 6 ni cheti tu,chuo transcript lazima
Hapa sawa wakuuForm four na advance wanataka vyeti original tu zile result slip hapana
Mimi si nikaanza kuusoma uzi kuanzia mwanzo ili nione chimbuko lake, PSRS walisemwa sana huko mwanzo.
Muasisi wa huu zui sijui kapotelea wapi, huenda placement yake ya UDSM ilishatiki na yupo busy huko jalalani[emoji3][emoji3][emoji3
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Imebidi nirudi mwanzo kuenjoy na huu Uzi
Poa poa hizo documents ziandae mapema hawanaga utani hapo wanaweza kukuzuia kisa kitambulisho tuHapa sawa wakuu
InshallahMwezi ujao inshallah Wenda nani nikaitwa kwenda kuwakanda PSRS
Ndio ni lazimaOhy wadau.. hv huko Dom wanakagua na transcripts za chuo,, ni lazima kwenda nazo..?
Vitambulisho nachukuwa mkuu mpaka na barua kutoa mtaani kwangu naenda kuwaachia vyote maana inaonesha wanapenda sana makolokolo/mazagazagaPoa poa hizo documents ziandae mapema hawanaga utani hapo wanaweza kukuzuia kisa kitambulisho tu
Sijui itakuwa nini, labda tuanze kubetiBaada ya hizi written za leo mnahisi ni Taasisi gani zitafuata tena kuita watu Dom..?
😂😂😂😂Hahhhh uhakika mzeeVitambulisho nachukuwa mkuu mpaka na barua kutoa mtaani kwangu naenda kuwaachia vyote maana inaonesha wanapenda sana makolokolo/mazagazaga
TAEC Kuna TRA Kuna OUTSijui itakuwa nini, labda tuanze kubeti