Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakuu mzigo wa nafasi za kutosha za kazi NSSF
National Social Security Fund (NSSF) as part of our commitment to encourage growth and
development within the Fund, we are excited to announce 392 internal job opportunities
available for all Fund’s employees with specific task contracts. Only candidates who are in
specific task contract term within the Fund should apply
 
Na hauwez kujitolea kwenye taasisi kama NSSF, EWURA, TRA kama hauna Connection. Madhara ya taasisi kuajiri zenyewe ndo yanaonekana.
hapana mkuu TAESA inapeleka vijana wengi tu TRA-INTERN.

sema tumia neno most of them wanaingia kwa michongo kwenye hizi taasis. ila wanaopenya kwa juhudi zao wapo mkuu na ni wengi pia
 
Na hauwez kujitolea kwenye taasisi kama NSSF, EWURA, TRA kama hauna Connection. Madhara ya taasisi kuajiri zenyewe ndo yanaonekana.
hawa jamaa ndio maana walikuwa hawatangazi kazi, walikuwa wanavizia kamba ilegezwe ndo wafanye yao, hii nchi ngumu sana kwa pigo hizi mungu atuhurumie majobles.
 
Huu ufala wa kujitolea ni rubbish , loophole na kichaka cha watu kujipenyeza kinyemela tu kwenye taasisi .
Kazi zitangazwe ,interview iitishwe watu wapate kazi kwa uwazi ,sio mambo ya kipuuzi ,kujitolea kujitolea ,kujitolea ndio nini ?
Ujinga sana ,wapige marufuku huu uhuni wa kujitolea ,nothing is for free.
Kwanza hawa ndio wanasababisha hata hizi taasisi zibweteke na kuona hamna haja ya kuajiri permanent employees na hivyo kunyima fursa graduates chances za kupata kazi .
Ujinga sana
 
Naunga mkono hoja asilimia mia!
 
Kujitolea ndio, mdudu gani huu ni uhuni kama uhuni mwingine tu.
 
Ni sahihi sio ndio maana hao NSSF umeona wamekaa miaka mingi bila kuajiri kumbe wana vijana takribani 400 wanaojitolea huko, inasikitisha kwa kweli.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jobless hatuelewi tutakuvuruga.
Don vill njoo unichapia mtu huku anatuenjoy vijana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],watuache mkuu ,stress tulizo nazo zinatosha ,Utumishi wanatupa stress Sana jobless zakutosha ,yaani sio poa kabisa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…