Kula SAD mkuu nje ndaniJAMAN TULIOTWA TRA INTERVIEWS KADA YA ICT OFFICER TUPEANE NONDO HUMU
AJIRA ZA TEMPORARY NA MKATABA UTUMISHI HAWAZISIMAMII MBONA ZINASIMAMIWA NA TAASISI
Kweli Hajui mbona kuna kazi kibao za Mkataba zimepitia Utumishi example Cereals and other produce Board(CPB),Tanroads Lakini pia ukisoma kanuni za Utumishi pia wanaeza kukaimisha usajili wao wakatuma wakaguzi.I hope hauko serious.
PSRS Imepoa sana hasa saa hivi watu hawaelewi na ukimya wa kwenye Advertisements au ndio wanakabidhi kwa Taasisi.IT siku hzi mbili tatu anapumua pushing za vijana zimepoaa sanaa dah au ndo tamati ya psrs kimenukiaa?
Dah sio poa wasafishe bas database kwnza hayo mengine tujipange nayo upyaPSRS Imepoa sana hasa saa hivi watu hawaelewi na ukimya wa kwenye Advertisements au ndio wanakabidhi kwa Taasisi.
Hizo kazi za mikataba zinazopitia utumishi si kama zile zinazosemwa NSSF. Kazi za mikataba zinazopitia utumishi mara nyingi ni kazi za kada ya juu na zile za muda mfupi kama miezi 3-6. Huko NSSF ni hizo mikataba mifupi mifupi na huwa wana-renew mara kwa mara!!Kweli Hajui mbona kuna kazi kibao za Mkataba zimepitia Utumishi example Cereals and other produce Board(CPB),Tanroads Lakini pia ukisoma kanuni za Utumishi pia wanaeza kukaimisha usajili wao wakatuma wakaguzi.
Zilikua ni mkataba wa Mwaka mmoja, Ila mara nyingi ukifanikiwa kupenya ni renewable mara nyingi.Hizo kazi za mikataba zinazopitia utumishi si kama zile zinazosemwa NSSF. Kazi za mikataba zinazopitia utumishi mara nyingi ni kazi za kada ya juu na zile za muda mfupi kama miezi 3-6. Huko NSSF ni hizo mikataba mifupi mifupi na huwa wana-renew mara kwa mara!!
Ni hataree mkuu mambo hayaelewekiii.Dah sio poa wasafishe bas database kwnza hayo mengine tujipange nayo upya
Hongera sana mankaHESLB SS4 ni sh ngapi?
WCF nkKweli Hajui mbona kuna kazi kibao za Mkataba zimepitia Utumishi example Cereals and other produce Board(CPB),Tanroads Lakini pia ukisoma kanuni za Utumishi pia wanaeza kukaimisha usajili wao wakatuma wakaguzi.
Hongera sana mkuuMungu ni Mwema ,,nami nimefanikiwa kulamba Asali ....GOD DID THIS, [emoji120][emoji120]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Duu hongera nyingi kwakeTuendelee kuwa wavumilivu tu maana Kuna mwamba mmoja hvi Leo kalamba asali ila jamaa alishawah kufanya interview ya utumish mara Moja tu Tena mwaka Jana mwez 6
Imagine Leo kaitwa Tena na taasis ambayo hakuwahi kufanya interview yake...
kasbr Zaid ya mwaka na kitu na alkuwa ashasahau na anapga mishe zake tu..
Leo pdf imeshuka anashangaa kuona watu wanamtext nakumpa hongera..
Kwahyo Kuna ktu Cha kujifunza hapa.
Wakati wa Mungu ni wakat sahh...na kama ipo ipo tuu kama haipo ni haipo.
Hatimaye Nimelamba Asali ndugu zangu nawashukuru team ya hapa ndani kwa namna tulivyopeana moyo na kufarijiana na mimi niwape moyo kuwa it is just a matter of time. Nimekaa mtaani tangu 2014 mpaka sasa.
Mapambano yaendelee
Nitakusaidia kufungua uzi juu ya hili kwa sababu haikubaliki.Hawa wametoa makucha yao kabisa bila aibu liwalo na liwe!! Nafasi 392 zimehifadhiwa kwa ajili ya wateule!! Ni wateule tu (waliokuwa "wanajitolea" na waliokuwa wamepewa kazi "za mkataba") ndio wanaruhusiwa kuomba hizo kazi. Tangazo ni kwa ajili ya waliomo ndani!! yaani "INTERNAL VACANCY ANNOUNCEMENT". Hawa wameamua kutangulia, wengine (taasisi za asali ya nyuki wadogo) watafuata kama NSSF watafanikiwa. Bila shaka wanapima kina cha maji!! Yasipotokea makelele makubwa ya kulalamika, utakuwa ndio utaratibu wa ajira hapa TZ. Sehemu ya tangazo lao hili hapa:
INTERNAL VACANCY ANNOUNCEMENT
National Social Security Fund (NSSF) as part of our commitment to encourage growth anddevelopment within the Fund, we are excited to announce 392 internal job opportunities available for all Fund’s employees with specific task contracts. Only candidates who are inspecific task contract term within the Fund should apply.
Jambo hili lazima lipingwe kwa nguvu zote!! Kanuni inasema ni lazima fursa itolewe kwa usawa kwa wote wenye sifa stahiki kugombea kila nafasi ya ajira kama wanavyofanya PSRS. Napendekeza ufunguliwe uzi maalumu wa kupinga jambo hili kwa nguvu zote!!
Sio uzi tu mkuu.Nitakusaidia kufungua uzi juu ya hili kwa sababu haikubaliki.
Inapatikana Mbweni, panda daladala za Bunju kisha shuka kituo cha Jumbe alafu ulizia kwa boda APC conference center ilipona APC, Mbweni ndo unapatikana wapi tafadhali mwenye kujua
ni mwendo wa halmashauri tuuPSRS Imepoa sana hasa saa hivi watu hawaelewi na ukimya wa kwenye Advertisements au ndio wanakabidhi kwa Taasisi.