Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,565
Watu wengi sio kwamba hawana kazi ila hawajaajiriwa tu au hawana ajira za kudumu / (They are unemployed but they have job [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787])Jobless wenzangu nauliz what are you doing for living?
Online business[emoji23], maisha yanasogeaJobless wenzangu nauliz what are you doing for living?
ππππHiyo natania ifute ndo ukweli wenyewe huoWatu wengi sio kwamba hawana kazi ila hawajaajiriwa tu au hawana ajira za kudumu / (They are unemployed but they have job [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787])
#Tatizo job security, working condition, good wages, NSSSF na Bima ya Afya makes suffering [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#NATANIA
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
boss niletee buti la afutatuπππOnline business[emoji23], maisha yanasogea
Saidia fundi for livingJobless wenzangu nauliz what are you doing for living?
Mabut siuzi boss[emoji23][emoji23][emoji23]boss niletee buti la afutatu[emoji23][emoji23][emoji23]
Unauza nn mkuuMabut siuzi boss[emoji23][emoji23][emoji23]
ππππleta hivyo unavyouza tutaelewana huku huku hahhhMabut siuzi boss[emoji23][emoji23][emoji23]
πππππasaivi wewe sio jobless wewe ni mtumishi wa serikaliSaidia fundi for living
I'm working at streets and now I'm on the way to home..Jobless wenzangu nauliz what are you doing for living?
Hujatania mkuu, huu ndio ukweli wenyewe.Watu wengi sio kwamba hawana kazi ila hawajaajiriwa tu au hawana ajira za kudumu / (They are unemployed but they have job [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787])
#Tatizo job security, working condition, good wages, NSSSF na Bima ya Afya makes suffering [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#NATANIA
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Suti je?Mabut siuzi boss[emoji23][emoji23][emoji23]
Siku imesindikizwa na kale kashortlist cha MUCE.Ikawa asubuhi ,ikawa mchana na sasa ni usiku utumishi wapo kimya umuhimu wakuwa na suti upo wapi?umuhimu wakuwa na degree upo wapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππππKuna ya muhas ilitoka j5 wiki iliyopitaSiku imesindikizwa na kale kashortlist cha MUCE.
Tusubiri kesho, mtabiri wa jobless alisema J4 ni siku ya mikeka kutolewa
bonge la topic man maana kitaa hakukaliki. Nishajiendeaga hadi machimboni chunya lkn bdo life halijanipa haueni .nikarudi bongo dili la usimamiz wa sensa kidogo likanipa unafuu Nakumiliki geto la ngwea.Nimejaribu kulizia mishe viwandani malipo mengi ya kimagushi mno 5k per day. Kubeti sitamani coz nafahamu bet zilivoteketeza boom langu. Huwa na waza sana hzi trip Domu za usaili jobles ambae hauna mishe uta afford vipi. Ama nauli mnaomba skani nini? Tupeni ramani wazee mnapunguzaje ukali wa maisha huku kitaani jobless wenzangu?Jobless wenzangu nauliz what are you doing for living?
Sawa kabisaHujatania mkuu, huu ndio ukweli wenyewe.
Sure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo natania ifute ndo ukweli wenyewe huo
Sports speculation(betting)[emoji1787]Jobless wenzangu nauliz what are you doing for living?
Please, njoo PM nikupe account yangu ya biashara[emoji1431]Unauza nn mkuu