Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mimi nachofurahi nikwamba kupitia mm watu wengi wameona na wataona inawezekana kumbe , kikubwa ukipiga oral endelea kuvumilia, japo kuvumilia kitu usicho kiona inaumiza sana

ndugu zangu uvumilivu umenilipa, na nyie utawalipa pia.

na tuwapongeze ndugu zetu hapa jukwaani waliopo kwenye system muda mrefu kwa kutupa faraja na miongozo

we are the same family wakuu, jf ni nyumbani.
 
Nasemaje nasema hivi; huu uzi umebarikiwa.... Ukichangia na kuwatakia pongezi wenzako iko siku na ww utafikiwa.

Marufuku kukata tamaa.

Ipo siku nami nitaleta mkasa wangu na idadi ya kazi nyingi sana za priivate nlizokosa pamoja na dharau nliyooneshewa mtaani hadi katika utafutaji ajira.

Psrs kwangu ilikuwa kama miujiza, wazee mambo yanawezekana kikukubwa kila hatua mshirikishe Mungu, jicho lipo na linaathiri.



Subiri nijiaandae kwenda job sasa ila mkasa wangu ups and downs nitauleta hapa as soon as possible.
Tunasubir mkuu ili uwape faraja jobless
 
Nasemaje nasema hivi; huu uzi umebarikiwa.... Ukichangia na kuwatakia pongezi wenzako iko siku na ww utafikiwa.

Marufuku kukata tamaa.

Ipo siku nami nitaleta mkasa wangu na idadi ya kazi nyingi sana za priivate nlizokosa pamoja na dharau nliyooneshewa mtaani hadi katika utafutaji ajira.

Psrs kwangu ilikuwa kama miujiza, wazee mambo yanawezekana kikukubwa kila hatua mshirikishe Mungu, jicho lipo na linaathiri.



Subiri nijiaandae kwenda job sasa ila mkasa wangu ups and downs nitauleta hapa as soon as possible.
Tunasubir mkuu ili uwape faraja jobless
 
😄😄Duh Naona nmebaki pekeangu mkongwe humu kila MTU keshalamba asali
Psrs mnikumbuke na Mimi ,mkongwe pekeee ambae sijapata asali

Pole sana mkuu,

Ni suala la muda tu, muhimu kuhudhuria saili nyingi uwezavyo ukiwa umejiandaa vya kutosha. Ukishapata received tu wewe anza kujiandaa mdogo mdogo. Usisubiri mpaka majina ya kuitwa kwenye usaili yatoke ndio uanze kujiandaa. Hii itakusaidia 👇
  1. Kupunguza pressure ya mitihani kwani unakuwa umejiandaa vya kutosha.
  2. Kufaulu mtihani wa kuandika (written)
  3. Kwenda usail wa mahojiano (oral) ambapo ni rahisi kutoboa kuliko written
  4. Kuwekwa kanzidata (data base) iwapo hautachaguliwa mara ya kwanza kama ulifika pass mark.
Tuko pamoja sana volk na wengne kwani sote tumepita huko na kama lengo la thread hii hata ukipata kazi bado tunakuwa hapa kusaidiana na kupongezana pale inapotokea members yeyote amelamba asali.

Nikuombe tu ndugu yangu kuwa mshirikishe M/Mungu, pambana sana na kuwa mvumilivu bila kusahau kufurahia mafanikio ya mwenzio akipata kazi, hii hurudi upande wako pia. Humu hatujuani lakini amini usiamini mtu akifanikiwa shangwe huwa zinakuwa ni nyingi utafikiri ni ndugu😄😄.

Tuko pamoja mkuu🙏🙏
 
Mimi nachofurahi nikwamba kupitia mm watu wengi wameona na wataona inawezekana kumbe , kikubwa ukipiga oral endelea kuvumilia, japo kuvumilia kitu usicho kiona inaumiza sana

ndugu zangu uvumilivu umenilipa, na nyie utawalipa pia.

na tuwapongeze ndugu zetu hapa jukwaani waliopo kwenye system muda mrefu kwa kutupa faraja na miongozo

we are the same family wakuu, jf ni nyumbani.
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwema.
 
Tunaomba PSRP ,Kama mtu umepata placement ...watutumie na Email / message /call. maana kwa mwendo huu unaweza jikuta unasema unasubiria Placement ...Kumbe ulishaitwaga kazini tokea january ila Pdf.. hukuliona , au kwenye Account yako kuwe na notification.[emoji1]
Wazo nzuri

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Hong
Ndugu zangu Nashukuru kwa comments zenu, sijaweza ku reply kulingana kwamba ni nyingi sana ila nimehakikisha nai like kila comments,hakika ninyi ni familia yangu

nafahamu nimetoa somo la uvumilivu kwa watafutaji wengi, maana nimesubiri miezi nane coz placement zilitoka (february)

Namimi leo naamini selected for oral kwenye App yao ina maana kubwa katika kupata kazi kwa hiyo
tusikate tamaa.

nikweli nimepitia mengi, nilipenda majeshi hasa uhamiaji nilipokosa kule nikatilia mkazo huku.database imenitoa mtaani coz nikajua nimesahaulika.

nawatakia kheri ambao hamjapata ikiwezekana mpate taasis nzuri na kwa wakati.

mwisho ahsante psrs,mmenitoa jalalani (in proff kabudi voice)

Ndugu zangu Nashukuru kwa comments zenu, sijaweza ku reply kulingana kwamba ni nyingi sana ila nimehakikisha nai like kila comments,hakika ninyi ni familia yangu

nafahamu nimetoa somo la uvumilivu kwa watafutaji wengi, maana nimesubiri miezi nane coz placement zilitoka (february)

Namimi leo naamini selected for oral kwenye App yao ina maana kubwa katika kupata kazi kwa hiyo
tusikate tamaa.

nikweli nimepitia mengi, nilipenda majeshi hasa uhamiaji nilipokosa kule nikatilia mkazo huku.database imenitoa mtaani coz nikajua nimesahaulika.

nawatakia kheri ambao hamjapata ikiwezekana mpate taasis nzuri na kwa wakati.

mwisho ahsante psrs,mmenitoa jalalani (in proff kabudi voice)
Hongera tena kaka,mim bado naskilizia kaka ila naamin wkt wa Mungu ndo wkt sahihi... inshallah soon nami ntaleta mrejesho hapa kuwa nimepangwa sehem fulan..cku zote wakati wa Mwenyez Mungu ndo wakat sahihi
Mimi nachofurahi nikwamba kupitia mm watu wengi wameona na wataona inawezekana kumbe , kikubwa ukipiga oral endelea kuvumilia, japo kuvumilia kitu usicho kiona inaumiza sana

ndugu zangu uvumilivu umenilipa, na nyie utawalipa pia.

na tuwapongeze ndugu zetu hapa jukwaani waliopo kwenye system muda mrefu kwa kutupa faraja na miongozo

we are the same family wakuu, jf ni nyumbani.
Kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom