Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mimi nachofurahi nikwamba kupitia mm watu wengi wameona na wataona inawezekana kumbe , kikubwa ukipiga oral endelea kuvumilia, japo kuvumilia kitu usicho kiona inaumiza sana

ndugu zangu uvumilivu umenilipa, na nyie utawalipa pia.

na tuwapongeze ndugu zetu hapa jukwaani waliopo kwenye system muda mrefu kwa kutupa faraja na miongozo

we are the same family wakuu, jf ni nyumbani.
 
Tunasubir mkuu ili uwape faraja jobless
 
Tunasubir mkuu ili uwape faraja jobless
 
😄😄Duh Naona nmebaki pekeangu mkongwe humu kila MTU keshalamba asali
Psrs mnikumbuke na Mimi ,mkongwe pekeee ambae sijapata asali

Pole sana mkuu,

Ni suala la muda tu, muhimu kuhudhuria saili nyingi uwezavyo ukiwa umejiandaa vya kutosha. Ukishapata received tu wewe anza kujiandaa mdogo mdogo. Usisubiri mpaka majina ya kuitwa kwenye usaili yatoke ndio uanze kujiandaa. Hii itakusaidia 👇
  1. Kupunguza pressure ya mitihani kwani unakuwa umejiandaa vya kutosha.
  2. Kufaulu mtihani wa kuandika (written)
  3. Kwenda usail wa mahojiano (oral) ambapo ni rahisi kutoboa kuliko written
  4. Kuwekwa kanzidata (data base) iwapo hautachaguliwa mara ya kwanza kama ulifika pass mark.
Tuko pamoja sana volk na wengne kwani sote tumepita huko na kama lengo la thread hii hata ukipata kazi bado tunakuwa hapa kusaidiana na kupongezana pale inapotokea members yeyote amelamba asali.

Nikuombe tu ndugu yangu kuwa mshirikishe M/Mungu, pambana sana na kuwa mvumilivu bila kusahau kufurahia mafanikio ya mwenzio akipata kazi, hii hurudi upande wako pia. Humu hatujuani lakini amini usiamini mtu akifanikiwa shangwe huwa zinakuwa ni nyingi utafikiri ni ndugu😄😄.

Tuko pamoja mkuu🙏🙏
 
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwema.
 
Wazo nzuri

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Hong

Hongera tena kaka,mim bado naskilizia kaka ila naamin wkt wa Mungu ndo wkt sahihi... inshallah soon nami ntaleta mrejesho hapa kuwa nimepangwa sehem fulan..cku zote wakati wa Mwenyez Mungu ndo wakat sahihi
Kabisa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…