Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mi leo nafungua meza buguruni sokoni nikauze mboga mboga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unakuta manzi yeye ni jobless afu anataka mwenye kazi sasa sisi jobless tupendwe na nani??

Unaona sasa shida hiyo Mkuu, na jobless akijichanganya akajidai anajua kupenda amekwisha, ataishia kupewa huduma ya mgao kama umeme na maji pamoja na kupigwa matukio mpaka ajiuzulu mwenyewe.
 

Duh! Mkuu, pole sana. Jamaa ametusaliti wanaume, mbona wengi tunatafuta wanamke wanaojitambua hivyo!

Tafadhali usiruhusu akufanye uwachukie majobless wenzio. Hata wenye kazi, wapo wenye akili mbovu kama huyo au zaidi.
 
Yeye anazo hizo funguo tatu?Tuanzie hapo kwanza.
 

Wanawake wa hivi huwa wanatengewa bajeti, let us say laki tano kuanzia kukutana naye mpaka siku ya tukio, pesa ikiisha na mahusiano yameisha. Labda atumie pesa yake kuyaendesha, tofauti na hapo biashara imekwisha.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…