Ebu hukooo, kaeni msubirie mkeka[emoji23]Hebu tuchangie kumuelewesha mpaka aelewe, ikiwezekana wizy achukue kombe.
Siku moja tuhudhurie ndoa ya watu waliotoka humu Jf wakianzia kwenye ujobless.
Naogopa kudisclose identity yangu tu[emoji4]Mkuu, si umpie hapa hapa, na jobless wengine waivamie kukupa support? Au unaogopa kudisclose identity yako?
😂😂😂😂Hahhhh unamuwekea bajet yake maalum ya trab na trat ikiisha tu na lake limeishaWanawake wa hivi huwa wanatengewa bajeti, let us say laki tano kuanzia kukutana naye mpaka siku ya tukio, pesa ikiisha na mahusiano yameisha. Labda atumie pesa yake kuyaendesha, tofauti na hapo biashara imekwisha.
Hayaa Mr umeulizia sana hii Account.. hiyo apo imepigwaa Ban toka July... Kuna watu wameni Report.Imagine hadi Avatar zinazimikiwa[emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂😂😂Walikupiga ban kisa nini mkuu au utumishi waliona wakureport kwakuanzisha thread hii?Hayaa Mr umeulizia sana hii Account.. hiyo apo imepigwaa Ban toka July... Kuna watu wameni Report.View attachment 2403685
😂😂😂😂Unaona sasa shida hiyo Mkuu, na jobless akijichanganya akajidai anajua kupenda amekwisha, ataishia kupewa huduma ya mgao kama umeme na maji pamoja na kupigwa matukio mpaka ajiuzulu mwenyewe.
😂😂😂😂achana na mikeka itatuua bure fanya suti yangu ipate matumizi mengine ya harusi Yale ya utumishi naona yamekuwa magumu kufata baruaEbu hukooo, kaeni msubirie mkeka[emoji23]
Kwanza Huu Uzi natamanigi niufutee [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walikupiga ban kisa nini mkuu au utumishi waliona wakureport kwakuanzisha thread hii?
😂😂😂😂Hahhhh kweli umesaidia wengi humu na ni endelevu huu tutapata kazi tutauacha nikama uwe wakula kimasiharaKwanza Huu Uzi natamanigi niufutee [emoji28][emoji28][emoji28]
sema ndio haiwezekaniii.
Maana shda yangu ilikuwaga maswala ya Placement..
kujuuua utaratibu ukooje.
sasa nikashangaaa uzi kila cku watu wanaufany kuwa active..
mmefny ki Account chang kikasepaaa....
Any nahope kuna watu umewasaidiiiia.....
Ulishapata placement?Kwanza Huu Uzi natamanigi niufutee [emoji28][emoji28][emoji28]
sema ndio haiwezekaniii.
Maana shda yangu ilikuwaga maswala ya Placement..
kujuuua utaratibu ukooje.
sasa nikashangaaa uzi kila cku watu wanaufany kuwa active..
mmefny ki Account chang kikasepaaa....
Any nahope kuna watu umewasaidiiiia.....
Ssa kwanini uwe wewe tuu?Mchaneni ukweli tuu.Hana
Tutarudi tulikotoka kuwekana ndugu na rushwaTatizo ni centralization of hiring process, each GOV. entity should recruit themselves instead of centralised system where corruption could take its toll. Sijui tulikosea wapi, nafasi zilishajazwa siku nyingi hata kabla ya interview yenyewe kuna shida kubwa hapa.
Nipo nasubiri Taasisi kama 2.Ulishapata placement?
Bora ilivyo sasa aseeh wasiturudishe nyuma maana kama ingekuwa kipindi cha zamani hizi nafasi hata kutangazwa zisingetangazwaTutarudi tulikotoka kuwekana ndugu na rushwa
Endelea kula asali huko kazini mkuuu🤣🤣Kwanza Huu Uzi natamanigi niufutee [emoji28][emoji28][emoji28]
sema ndio haiwezekaniii.
Maana shda yangu ilikuwaga maswala ya Placement..
kujuuua utaratibu ukooje.
sasa nikashangaaa uzi kila cku watu wanaufany kuwa active..
mmefny ki Account chang kikasepaaa....
Any nahope kuna watu umewasaidiiiia.....
Umeshapata tayariNipo nasubiri Taasisi kama 2.
Ambayo moja nahisi ni uhakika. niliofanya nao oral wawili washapata kazi taasisi tofauti na hii tuliopiga Oral.. so iyo moja kma naipambania alone.