Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanza Huu Uzi natamanigi niufutee [emoji28][emoji28][emoji28]
sema ndio haiwezekaniii.
Maana shda yangu ilikuwaga maswala ya Placement..
kujuuua utaratibu ukooje.
sasa nikashangaaa uzi kila cku watu wanaufany kuwa active..
mmefny ki Account chang kikasepaaa....
Any nahope kuna watu umewasaidiiiia.....
Duuhh
 
Hahaha, hata majobless wako kwa madaraja. Wewe uko kwenye daraja la waliofika Oral zaidi ya moja, hili ni kundi lenye uhakika zaidi ya jobless mwenye Received tupu kwenye akaunti yake, au aliyeshia Written.
Touch point hapa.

Umenisema[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom