Wakuu Naomba kuuliza, kwenye tangazo la kuitwa kazini wanasema kuwa barua inabidi ifatwe ndani ya siku 7, zikizidi siku 7 barua itatumwa kwenye sanduku la Posta la muhusika
Sasa tunajua kuwa barua waga zinachelewa sana kufika huko kwenye sanduku la muhusika, je kuna uwezekano kuwa ata zikipita hizo siku 7 mtu akienda utumishi atakuta barua bado IPO?
Kuna changamoto ya kwenda ndani ya week hii kwahiyo badala ya kusubiri nitumiwe posta me nataka Niende week ijayo, je kuna uwezekano nitaikuta barua au nitakuwa nimepishana nayo?
Nahitaji mawazo ya wazoefu, kama kuna ambao waliwahi kwenda kwa kuchelewa ile ndani ya siku 7 utumishi na wakaikuta barua yao