billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,443
- 1,656
All the best mwana, pamabana.Mi leo nafungua meza buguruni sokoni nikauze mboga mboga
Njoo DMkwa faida ya wote bana
All the bestMi leo nafungua meza buguruni sokoni nikauze mboga mboga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ebu hukooo, kaeni msubirie mkeka[emoji23]
Duuh pole sana, tulianza kuhisi kuwa ushaingia kwenye mrija na ukatusahau jobless tupambane wenyewe hili jamvi uliloliasisiHayaa Mr umeulizia sana hii Account.. hiyo apo imepigwaa Ban toka July... Kuna watu wameni Report.View attachment 2403685
DuuhhKwanza Huu Uzi natamanigi niufutee [emoji28][emoji28][emoji28]
sema ndio haiwezekaniii.
Maana shda yangu ilikuwaga maswala ya Placement..
kujuuua utaratibu ukooje.
sasa nikashangaaa uzi kila cku watu wanaufany kuwa active..
mmefny ki Account chang kikasepaaa....
Any nahope kuna watu umewasaidiiiia.....
Touch point hapa.Hahaha, hata majobless wako kwa madaraja. Wewe uko kwenye daraja la waliofika Oral zaidi ya moja, hili ni kundi lenye uhakika zaidi ya jobless mwenye Received tupu kwenye akaunti yake, au aliyeshia Written.
Ikawa asubuhi ikawa mchana na sasa ni jioni utumishi kimyaπJamani hakuna placement?
Noma sanaππππ
Ikawa asubuhi ikawa mchana na sasa ni jioni utumishi kimyaπ
Kwenye saa moja hivi hadi saa tano ndio zinatokagaππππ
Ikawa asubuhi ikawa mchana na sasa ni jioni utumishi kimyaπ
Kwanini Muce wamesitisha??yaliyojiri huko utumishi
Usaili wa MUCE wasitishwa,
MoCU wameshortlist watu
Hawajaweka sababuKwanini Muce wamesitisha??
Kwenye saa moja hivi hadi saa tano ndio zinato
Sawa sawaHawajaweka sababu
Unakaa unafurahia una pending mikeka halafu MUCE wanachomoa mkekayaliyojiri huko utumishi
Usaili wa MUCE wasitishwa,
MoCU wameshortlist watu
Hawapo serious haoUnakaa unafurahia una pending mikeka halafu MUCE wanachomoa mkeka
Kwa hii hali Unaweza kuta hadi placement unayosubiria ikawa re-advertised ndio utajua hujuiHawapo serious hao
Ahsante sana mh Joblessyaliyojiri huko utumishi
Usaili wa MUCE wasitishwa,
MoCU wameshortlist watu
acha wabaki nayo tu tushachokaKwa hii hali Unaweza kuta hadi placement unayosubiria ikawa re-advertised ndio utajua hujui