Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sioni kama waliomshauri mshikaji wana maana kama unayomanisha hapa.
pili ,inaonekana wewe ni mgeni wa sahili za TRA, TANROD, IMMIGRATION NK
bila maelekezo ni ngumu sana kutoboa , ndio maana anashauriwa aende PSRS . Ila hajalazimishwa
Atakuwa Mjinga wa kiwango cha RAMI, sana.... Yani kafanya interview TRA kafika oral anaacha kumalizia ... Eti aende MDA sasa swali je huko MDA akikosa je??? Maana Mtihani ni Mtihani kaenda alafu kakosa yani hiyo next stage hajafika..... Sasa si bora aende huko kwenye connection yani Nafasi 200 woooteeeeee wawe wa connectio kusiwe hata na 10.. wa potelea pote??? Sasa hao kwenye 10 wapotelea pote ndio anaweza akawa jamaa hapo
 
Sasa Oral Tra tar 8 written MDA tar 5..

Nadhani nyie mmetoka kumaliza chuo juzi hamuwajui TRA,BOT,EWURA NA TANAPA NA TANROADS Kwenye masuala ya ajira
 
Mungu hawai wala hachelewi tuendelee kujipa moyo[emoji120]
Hii kauli waga yakujipa Moyo ila waga inakera sana, Maana kuna watu tunajua fika kuwa Mungu kwao aliwahi chap chap tu na hadi leo hii washakula salary ya miez 5

ila kwetu ambao tunajua kabisa kuwa Ngoma imechelewa ndo tunaitumia kujipa matumaini, lugha nyepesi ya kufanya interview ni mchujo kwahiyo kuna ambao watapata na kuna ambao watakosa

Kwahiyo ni kheri tukae na both situation vichwani kwetu, kama ikitokea upo kwenye kundi la kupata fresh lakini pia ukiwa kwenye kundi la kukosa napo fresh tu coz tunajua ni ngumu kupata kila mtu
 
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
 
Mmmh ni kwel ila rizik ya mtu sio ya kuumizia kichwa mana kila mtu na wakat wake kama unasali na unamuomba Mungu bhac ongeza kiwango cha imani na wew atakushangaza but end of the day tutarud pale pale Mungu hawai wala hachelewi....mana hata ukipata leo hyo ajira utasahau machungu yote
 
Tukumbuke lkn kuwa kuna kufeli pia...yaani below 50%...
 

Hongera sana mkuu,

Nakutakia uwe na mafanikio katika majukumu yako hayo mapya. Katende haki na bila kusahau kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma.

Kumbuka kutoa Shukrani kwa kusaidia makundi yenye uhitaji katika jamii inayokuzunguka kama vile watoto yatima na wazee. Kufanya hivi utazidi kufungua milango ya baraka katika maisha yako.

πŸ‘ŠπŸ‘Š
 

Salute kwako mkuu,

Mwenye macho na apate kusoma hii post, yaan binafsi pia haiingii akilin kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…