Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Mimi Mara nyingi nikiomba kazi siombi ilmaradi naomba idadj pia naizingatia sasa just imagine TRA WANAHITAJI WATU 6 NA WAKO 24.Hahahahaha! Mkuu nimekukubali sana. Unatumia hoja kukubali au kukataa kitu, na sio kufuata wengi wanasema nini.
INA MAANA Nafasi Ratio ni 1:4 so kama Hataenda kimasihala yaani Aende na Mungu,confidence na ushawishi anaiweza kutoboa .
Tukisema sehemu Fulani Ina connection haimaanishi asilimia zote wanaingiza watu kwa kujuana