Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sorry ila kazi ya mkataba hawaweki kwenye Database.
Mkataba wanaweka database kwa kazi za mikataba, kama hiyo Cereal and other produce Board (CPB) zilikua ni kazi za Mkataba. Kwa mfano nafasi za Marketing Officer walihitajika 12 ila Mpaka sasa jumlisha 3 za jana washafika watu 16 walioitwa. Oral Tulikua watu 38.
LAKINI PIA FUATILIA KAZI ZA WCF ZILIKUA ZA MKATABA ILA JUZI KATI HAPO PDF ILIKUA NA WCF VIP HAPO UNASEMAJE??
 
PSRS wanayaona maombi yetu....naona watalifanyia kazi tu na hili... Kikubwa ni kuforce agenda...ili wanna wapate michobgo wote
Screenshot_20231028-181519.jpg


Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom