El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
Hao MDAs mwezi wa sita tulifanya interview watu wa electrical walitaka watu 30 na bado hawajafika mpaka sasa na jumamosi tena wanaenda kufanya elecrical MDAs majina mengi ni yaleyale tu.sasa siwangechukua tu baadhi waliofaulu ile ya mwez wa sita kuliko kuanza kusumbua tena watu kusafiri.