Nafikiri wanatoa mwezi ujao tuwe wapole tuHapana, tuambizana ukweli ili tujiandae kisaikolojia
Naelewa sana mkuu, haya mambo ndio yanatukomaza kwenye kupambanaHahaha, Mkuu naomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza. Lengo ni kupeana hasira ili tukaze mpaka kufika Oral.
Hahahahaa, movie ndio nishaanza hivyo, tusubiri mwisho wakeHahaha, acha kabisa Mkuu, ukitaka kulielewa hilo la ukarimu wetu wanaume kwa wanawake ni siku utakayobadilisha avatar na kuweka ya mwanaume.
Japo mimi binafsi napata wakati mgumu sana kuamini wewe sio wakike, na mimi nitaanza rasmi kukukazia kiume.
Mpaka sasa imegundulika hapaJf kwamba Prok ni wakike na sio wakiume na wewe moneytalk ni wakiume sio wakike, acha tuone mwisho wake utakuwaje.
😂😂😂😂😂😂Aaaaah I can't kwakweliii humu inatakiwa ukae kitaalamu sanaMzee naona unajipa moyo, gusa for your own risk[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahahahaa, ni sahihi nimeoa tangu 2019 na nilileta uzi humu ila bado ni jobless, maisha yanasonga kupitia vijiwe.Jobless tunahangaika na ajira wewe kumbe umetuzunguka umeoa aiseee humu tuishi kitaalamu sana[emoji1787]
Hahahahaaa, uzuri hiyo suti ina malengo mawili makuu hapa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kinachoniangusha ni hii suti tu haipati kazi yake niliyoishonea Yani mpaka imeanza kupauka hapa
Mkeka upi? mwajiri ni nani?Tuko shortlisted tena ***** badala ya call for oral
Cha kushangaza sasa, huwa wengine wanapata, hii ni Bongo usisahau hiliNipo nje ya mada kidogo, hivi hawa wanaokuja huku na kuandika natafuta connection ya ajira serikalini au private na private kaweka masharti kwamba kuwe na mkataba. Aisee ingekuwa rahisi hivyo wote hapa tungekuwa na kazi. Nmesoma uzi mmoja humu nmejiuliza maswali mengi. Bora hawa wanaosema ajira yoyote natafuta ili mradi iwe ya halali
Hahahahaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aaaaah I can't kwakweliii humu inatakiwa ukae kitaalamu sana
😂😂😂😂😂Hiyo yapili naona niiache tu Hawa viumbe wataniua bure hawana huruma anaweza akakuchoka tu siku hyo anakwambia mbona unakula vibaya kama kifaru sasa shida yaniniHahahahaaa, uzuri hiyo suti ina malengo mawili makuu hapa.
1. Kwenda kuchukulia barua PSRS
2. Kuchukulia Mchuchu.
Yote yanauwezekano wa kutimia kwa hiyo hiyo suti 1. Tuombe Mungu uweke hii historia[emoji3][emoji3][emoji3]
Warumi nilikuaga ni manzi aseeh na numbisa nayeye sielewi elewi😂😂😂Hahahahaaa
Kitaalamu sana mkuu.
Ivi nani alikuwa anajua kama marehemu warumi alikuwa wa kiume? ukitaka kumaintain identity yako unaweza
Mwez ujao December oooh mayigodiNafikiri wanatoa mwezi ujao tuwe wapole tu
kwanini unapata wakati mgumu mkuu kuamini
mbona iyo sababu haina mashiko jombaaAvator hyo, mwanaume halisi hawezi weka picha ya kike hata kama ni mkewe kwenye profile/ avator yake.
daah pole sana mwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani mimi nna asilimia buku wewe ni wakike aseeh
mwambie huyo ache kujipa matumaini ya uongoMzee naona unajipa moyo, gusa for your own risk[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aaaaah I can't kwakweliii humu inatakiwa ukae kitaalamu sana