Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hahaha, acha kabisa Mkuu, ukitaka kulielewa hilo la ukarimu wetu wanaume kwa wanawake ni siku utakayobadilisha avatar na kuweka ya mwanaume.

Japo mimi binafsi napata wakati mgumu sana kuamini wewe sio wakike, na mimi nitaanza rasmi kukukazia kiume.

Mpaka sasa imegundulika hapaJf kwamba Prok ni wakike na sio wakiume na wewe moneytalk ni wakiume sio wakike, acha tuone mwisho wake utakuwaje.
Hahahahaa, movie ndio nishaanza hivyo, tusubiri mwisho wake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kinachoniangusha ni hii suti tu haipati kazi yake niliyoishonea Yani mpaka imeanza kupauka hapa
Hahahahaaa, uzuri hiyo suti ina malengo mawili makuu hapa.

1. Kwenda kuchukulia barua PSRS
2. Kuchukulia Mchuchu.

Yote yanauwezekano wa kutimia kwa hiyo hiyo suti 1. Tuombe Mungu uweke hii historia[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nipo nje ya mada kidogo, hivi hawa wanaokuja huku na kuandika natafuta connection ya ajira serikalini au private na private kaweka masharti kwamba kuwe na mkataba. Aisee ingekuwa rahisi hivyo wote hapa tungekuwa na kazi. Nmesoma uzi mmoja humu nmejiuliza maswali mengi. Bora hawa wanaosema ajira yoyote natafuta ili mradi iwe ya halali
Cha kushangaza sasa, huwa wengine wanapata, hii ni Bongo usisahau hili
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aaaaah I can't kwakweliii humu inatakiwa ukae kitaalamu sana
Hahahahaaa
Kitaalamu sana mkuu.

Ivi nani alikuwa anajua kama marehemu warumi alikuwa wa kiume? ukitaka kumaintain identity yako unaweza
 
Hahahahaaa, uzuri hiyo suti ina malengo mawili makuu hapa.

1. Kwenda kuchukulia barua PSRS
2. Kuchukulia Mchuchu.

Yote yanauwezekano wa kutimia kwa hiyo hiyo suti 1. Tuombe Mungu uweke hii historia[emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂😂😂Hiyo yapili naona niiache tu Hawa viumbe wataniua bure hawana huruma anaweza akakuchoka tu siku hyo anakwambia mbona unakula vibaya kama kifaru sasa shida yanini
 
Back
Top Bottom